Kesi ya Maofisa saba wa Polisi wanaodaiwa kuua yapigwa tena kalenda
Kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis inayowakabili maofisa saba wa polisi mkoani Mtwara, imeahirishwa kutokana na upelelezi bado unaendelea.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed