Bilioni 100 zatolewa kukabiliana na upandaji bei wa Mafuta Tanzania
Akiwasilisha taarifa ya hali ya mafuta bungeni, waziri Makamba amesema, ruzuku hiyo haita athiri miradi ya serikali inayoendelea na uamuzi huo ni hatua ya serikali ya muda mfupi kupunguza ongezeko la bei ya mafuta kabla ya Mwaka mpya wa fedha.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed