Hukumu ya Sabaya na wenzake yaahirishwa

Awali Hukumu hiyo ilikuwa isomwe leo Mei 31, 2022 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, lakini imeaairishwa na Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Arusha, Fadhili Mbelwa kwa maelezo kuwa hakimu Patricia Kisinda aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo yuko nje ya mkoa kikazi.