Tanzania yaikana ripoti ya awali ya ajali ya ndege Bukoba
Taarifa ya kanusho juu ya ripoti hiyo ambayo imesambaa mitandaoni toka siku Jumanne November 22 na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania imekuja jana Novemba 23, wakati tayari imeshaibua mjadala mzito juu ya ajali hiyo.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed