Tanzania yaweka mikakati kudhibiti homa ya Marburg
Siku mbili baada ya kutangazwa kuibuka kwa ugonjwa wa Marburg nchini Tanzania Serikali ya nchi hiyo imetoa mwongozo kwa wasafiri kote kwa kuzingatia kanuni za kimataifa, huku ikiagiza utekelezaji wake uanze mara moja.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed