• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

ACT Wazalendo waitaka Serikali itekeleze ahadi yake ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Africa East Africa

ACT Wazalendo waitaka Serikali itekeleze ahadi yake ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Chama cha ACT Wazalendo  kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutunga sheria ya kuiwezesha Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

TBS:Mchele kutoka Marekani ni salama
Africa East Africa

TBS:Mchele kutoka Marekani ni salama

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Taarifa ya TBS iliyotolewa kwa vyombo vya habari imeeleza kuwa chakula hicho kilipoingizwa nchini kilifanyiwa ukaguzi na uchunguzi wa kimaabara na kuthibitishwa kuwa ni salama kwa matumizi.

Jenerali Mabeyo: Kulikuwa na ugumu wa kumuapisha rais mwingine baada ya kifo cha Magufuli
Africa East Africa

Jenerali Mabeyo: Kulikuwa na ugumu wa kumuapisha rais mwingine baada ya kifo cha Magufuli

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Hata hivyo anakiri kwamba kulikuwa na ugumu uliosababisha kuchukua saa 48 kabla ya rais mwingine hajaapishwa jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya Tanzania, hali iliyotokana na pande mbili kuwa kutofautiana kimaamuzi.

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25

Asia GambaMarch 12, 2024March 12, 2024

Serikali imewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa mwaka 2024/25. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo aliwasilisha mpango huo Dodoma jana katika kikao cha kamati ya bunge zima kilichoongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0
Africa East Africa

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilitangaza awamu nyingine ya maandamano yenye utofauti na awamu ya kwanza ya maandamano iliyomalizika hivi karibuni.

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.
Africa East Africa

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wakazi saba wa Jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mbele ya mahakimu watatu tofauti wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka manne yakiwamo ya kusafirisha sukari na mafuta ya kupikia kwa magendo vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 10.7. 

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.
Africa East Africa

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wiki hii ilikuwa ni wiki ya hekaheka za vikao vya kamati kuu vya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, ambayo imeishia katika mkutano mkuu wa chama hicho ambao ulitambulisha safu ya viongozi wapya ikiwa ni sehehmu ya kupokezana kijiti kama ambavyo Katiba yao inawataka kufanya hivyo kila inapofika miaka mitano.

Somalia mwanachama kamili Jumuiya ya Afrika Mashariki
Africa East Africa

Somalia mwanachama kamili Jumuiya ya Afrika Mashariki

Asia GambaMarch 4, 2024March 4, 2024

Somalia sasa  imekuwa mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kukamilisha hatua zote zilizohitajika ili kuidhinishwa kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo ya kikanda.

Mzee Mwinyi afariki dunia kwa saratani ya mapafu
Africa East Africa

Mzee Mwinyi afariki dunia kwa saratani ya mapafu

Asia GambaMarch 1, 2024March 1, 2024

Ali Hassan Mwinyi maarufu Mzee Rukhsa alikuwa rais wa awamu ya pili ncini Tanzania aliyehudumu madarakani kwa miaka 10 kutoka mwaka 1985 mpaka 1995.

Lowassa jemedali wa siasa nchini Tanzania
Africa East Africa Politics

Lowassa jemedali wa siasa nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 12, 2024February 12, 2024

Lowassa amefarikI Februari 10,2024 siku ya Jumamosi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyoko jijini Dar es salaam. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo