• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Serikali:Wananchi chukueni tahadhari kujikinga na magonjwa na mfumo wa hewa
Africa East Africa

Serikali:Wananchi chukueni tahadhari kujikinga na magonjwa na mfumo wa hewa

Asia GambaDecember 14, 2023December 14, 2023

Mganga mkuu wa Serikali nchini Tanzania, Prof. Tumaini Nagu amewata wananchi kuzingatia kanuni za afya kwa kuzingatia usafi na kupata chanjo ya UVIKO 19 kwa ukamilifu ili kujikinga na magonjwa ya njia ya hewa ikiwemo mafua, kikohozi, kupumua kwa shida, kuwashwa koo, homa na kuumwa kichwa. 

Akamatwa akidaiwa kumbaka mtoto wa miaka saba
Africa East Africa

Akamatwa akidaiwa kumbaka mtoto wa miaka saba

Asia GambaDecember 12, 2023December 12, 2023

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja (32), akituhumiwa kumbaka mtoto wa miaka saba  ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Nalunga, iliyopo katika Halmashauri ya Mji Nanyamba, mkoani hapa.

Ruto:Kenya kutoka kwenye dhiki ya deni.
Africa East Africa

Ruto:Kenya kutoka kwenye dhiki ya deni.

Asia GambaDecember 12, 2023December 12, 2023

Rais William Ruto amesema kwamba Kenya inatoka “katika dhiki ya madeni”, akipigia debe sera zake za kiuchumi licha ya hasira ya umma kuhusu nyongeza ya ushuru na kupunguza ruzuku wakati nchi hiyo ikiadhimisha miaka 60 ya uhuru wake.

Pombe yakatisha maisha ya Zahara, mwimbaji wa Afrika Kusini
Africa East Africa

Pombe yakatisha maisha ya Zahara, mwimbaji wa Afrika Kusini

Asia GambaDecember 12, 2023December 12, 2023

Mwimbaji huyo mashughuli aliyeshinda tuzo myimgi alifariki Jumatatu usiku kutokana na tatizo la Ini lililotokana na unywaji wa pombe kupita kiasi.

Mwanasheria wa Tanzania Joseph Oleshangay atunukiwa tuzo ya Haki za Binadamu ya Weimar nchini Ujerumani.
Africa East Africa

Mwanasheria wa Tanzania Joseph Oleshangay atunukiwa tuzo ya Haki za Binadamu ya Weimar nchini Ujerumani.

Asia GambaDecember 11, 2023December 11, 2023

Mwanasheria wa haki za binadamu kutoka nchini Tanzania Joseph Moses Oleshangay ametunukiwa Tuzo ya Haki za Kibinadamu ya Weimar nchini Ujerumani mnamo Desemba 10, 2023, ambayo pia ilifanyika kuwa Siku ya Kimataifa ya Haki za Kibinadamu, kama ilivyotangazwa na Umoja wa Mataifa.

Nape atangaza vita na waliomzushia kifo Makamu wa Rais wa Tanzania
Africa East Africa

Nape atangaza vita na waliomzushia kifo Makamu wa Rais wa Tanzania

Asia GambaDecember 11, 2023December 11, 2023

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Serikali itachukua hatua kwa waliomzushia kifo Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, ili kudhibiti matumizi mabaya ya mtandao na kuwalinda wananchi dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao.

Tanzania kufanya marekebisho ya kodi kila baada ya miaka mitatu
Africa East Africa

Tanzania kufanya marekebisho ya kodi kila baada ya miaka mitatu

Asia GambaDecember 1, 2023December 1, 2023

Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa itakuwa inafanya marekebisho ya kodi kila baada ya miaka mitatu ili kuwa na Sera ya kodi inayotabirika na kuwafanya wawekezaji kuweka mipango yenye ufanisi. 

Dola  milioni 29.3 kutumika kuboresha mchakato wa ukusanyaji data za elimu Tanzania
Africa East Africa

Dola  milioni 29.3 kutumika kuboresha mchakato wa ukusanyaji data za elimu Tanzania

Asia GambaDecember 1, 2023December 1, 2023

Mkataba huo umetiwa saini Jijini Dar es Salaam kati ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha ambaye pia ni Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, na Balozi wa Sweden nchini, Mhe. Charlotta Ozaki Marcias.

Mahakama ya Afrika Mashariki yatupilia mbali pingamizi la mradi wa bomba la mafuta
Africa East Africa

Mahakama ya Afrika Mashariki yatupilia mbali pingamizi la mradi wa bomba la mafuta

Asia GambaNovember 30, 2023November 30, 2023

Mahakama ya Afrika Mashariki  imetupilia mbali ombi la kutaka kusimamisha ujenzi wa bomba la mafuta ghafi lenye thamani ya $4bn (£3.1bn) kutoka Uganda hadi nchini Tanzania.

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, atuhumiwa kumfanyia ukatili mfanyakazi wake
Africa East Africa

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, atuhumiwa kumfanyia ukatili mfanyakazi wake

Asia GambaNovember 27, 2023November 27, 2023

Gekul ambaye ni Mbunge wa Chama cha Mapinduzi CCM, anatuhumiwa kutoa maelekezo kwa kundi la vijana wake kumwingizia chupa sehemu ya haja kubwa mfanyakazi wake, Hashim Ally au kumpiga risasi kwa madai kwamba alitumwa kimkakati kwenda kwenye hoteli yake ya Paleii Lake View Garden.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo