• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Washtakiwa wanne kesi ya Sabaya waachiwa huru
Africa East Africa

Washtakiwa wanne kesi ya Sabaya waachiwa huru

Asia GambaSeptember 7, 2022September 7, 2022

Agosti 3 mwaka huu washtakiwa wanne waliokuwa katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Sabaya ambao ni Silvester Nyegu, John Aweyo, Nathan Msuya na Antero Assey waliandika barua ya kuomba kufanya makubaliano na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuhusu shauri linalowakabili.

LHRC yafungua kesi ya kupinga mifumo iliyotumika kupitisha Tozo 
Africa East Africa

LHRC yafungua kesi ya kupinga mifumo iliyotumika kupitisha Tozo 

Asia GambaSeptember 5, 2022September 5, 2022

Aidha LHRC inaomba mahakama kuweka zuio la muda la kuendelea kutumika kwa kanuni hizo hadi pale kesi ya msingi itakapofikia mwisho.

NHIF yapewa siku 14 kupeleka mpango wa kuboresha takwimu za matibabu                    
Africa East Africa

NHIF yapewa siku 14 kupeleka mpango wa kuboresha takwimu za matibabu                   

Asia GambaSeptember 1, 2022September 1, 2022

Amesema hayo leo jijini Dodoma wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari na kueleza kuwa kumekuwepo na vitendo vya udanganyifu kwenye, mfuko huo, hali inayochangia kuyumbisha mfuko.

Asilimia 99 ya Watanzania wamehesabiwa sensa ya watu na makazi
Africa East Africa

Asilimia 99 ya Watanzania wamehesabiwa sensa ya watu na makazi

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Mtakwimu Mkuu wa Serikali nchini Tanzania, Dkt Albina Chuwa hii leo amewaambia wanahabari kwamba hatua hiyo iliyobaki itakwenda kukamilika hadi tarehe 5 2022 September na zoezi hilo litafanyika kwa njia ya simu zilizotolewa zitatumika kuwafikia ambao hawajahesabiwa .

Mwanafunzi afariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake                        
Africa East Africa

Mwanafunzi afariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake                       

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Geita, Ally Kitumbu amethibitisha tukio hilo alipozungumuza na waandishi  wa habari na kumtaja mtuhumiwa wa tukio kuwa ni mwanafunzi wa darasa la saba, shule ya msingi Mkombozi iliyopo mjini Geita, Haruna Amin (16). 

Tanzania kutoa chanjo ya polio awamu ya tatu nchi nzima 
Africa East Africa

Tanzania kutoa chanjo ya polio awamu ya tatu nchi nzima 

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Waziri wa Afya nchini humo Ummy Mwalimu amesema utoaji wa chanjo hiyo ni kufuatia mlipuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Malawi mnamo Februari 17, 2022 na kisha nchini Msumbiji mnamo Mwezi Mei 2022.

Ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kutengeneza silaha bandia       
Africa East Africa

Ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kutengeneza silaha bandia       

Asia GambaAugust 26, 2022August 26, 2022

Silaha alizokutwa nazo ni aina ya AKA 47 (SMG) 11, Uzgun moja, bastola tano, fulana mbili za kujikinga na risasi mbili zilizotengenezwa kwa kutumia plastiki na mbao.

Kishikwambi kingine cha sensa chaibiwa Moshi
Africa East Africa

Kishikwambi kingine cha sensa chaibiwa Moshi

Asia GambaAugust 26, 2022August 26, 2022

Mratibu wa Sensa Mkoa wa Kilimanjaro, Albert Kulwa ametoa taarifa hiyo leo Ijumaa Agosti 26, 2022 wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Moshi, ambapo amesema tukio hilo ni la kizembe na limetokea Agosti 25.

Watu watatu wamefariki na wengine 316 wakiugua surua visiwani Zanzibar.
Africa East Africa

Watu watatu wamefariki na wengine 316 wakiugua surua visiwani Zanzibar.

Asia GambaAugust 26, 2022August 26, 2022

Kwa mujibu wa Meneja wa Kitengo cha Elimu ya Afya wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dk Bakar Magarawa mlipuko wa ugonjwa huo umetokea ndani ya kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

Uamuzi wa kesi ya kina Mdee na wenzake kutolewa Septemba 2
Africa East Africa

Uamuzi wa kesi ya kina Mdee na wenzake kutolewa Septemba 2

Asia GambaAugust 26, 2022August 26, 2022

Hatua hiyo imekuja baada ya kiongozi wa jopo la mawakili wa Chadema, Peter Kibatala kuwasilisha ombi mbele ya Jaji Cyprian Mkeha kuwa atoe hati ya wito kwa wabunge hao ili waje kuwahoji mahakamani hapo kuhusiana na viapo vyao.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy