• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Tarehe muhimu katika miaka 70 ya uongozi wa Malkia Elizabeth II
Europe Features International People

Tarehe muhimu katika miaka 70 ya uongozi wa Malkia Elizabeth II

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Mnamo Februari 6, Malkia Elizabeth II anakuwa kiongozi wa kwanza katika historia ya Uingereza kutawala kwa miaka 70.

“Ushindi utakuwa wetu” Zelensky asema, siku 100 baada ya uvamizi wa Urusi
Europe Features

“Ushindi utakuwa wetu” Zelensky asema, siku 100 baada ya uvamizi wa Urusi

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Katika siku ya 100 ya uvamizi wa Urusi, mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki, ambapo vikosi vya Moscow vinaimarisha udhibiti wake katika eneo la Donbas la Ukraine.

Guinea: Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano
Africa Features Politics

Guinea: Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Miaka miwili kabla ya mapinduzi nchi hiyo ilishuhudia maandamano ya mara kwa mara dhidi ya mpango wa rais huyo wa zamani wa kutaka kuwania muhula wa tatu.

Kiongozi wa Umoja wa Afrika kuzungumza na Putin Ijumaa nchini Urusi
Africa Features People Politics

Kiongozi wa Umoja wa Afrika kuzungumza na Putin Ijumaa nchini Urusi

Maureen MedzaJune 2, 2022June 2, 2022

Ziara hiyo iliandaliwa baada ya mwaliko wa Putin, na Sall atasafiri na rais wa Tume ya Umoja wa Afrika

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia  wakenya katika sherehe za madaraka
East Africa Features People Politics

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia wakenya katika sherehe za madaraka

Maureen MedzaJune 1, 2022June 1, 2022

Uhuru, ambaye pia ni mlezi katika Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya amemtaja Raila kama mtu bora zaidi kumrithi, kwa kile naibu wake Ruto amekitaja kuwa usaliti.

Kipindi maarufu, “Real Housewives of Dubai” chazinduliwa Dubai
Entertainment Features Middle East People

Kipindi maarufu, “Real Housewives of Dubai” chazinduliwa Dubai

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Kama vile mfululizo wa vipindi vya Real Housewives vinavyorekodiwa huko Amerika, onyesho hili litafuata maisha ya wanawake matajiri huko Dubai

Mashirika: Hatari ya njaa katika Pembe ya Afrika baada ya misimu minne ya mvua duni
Africa East Africa Features Lifestyle & Health

Mashirika: Hatari ya njaa katika Pembe ya Afrika baada ya misimu minne ya mvua duni

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Zaidi ya watu milioni 16.7 katika nchi hizo tatu wanakabiliwa na njaa kali huku idadi ikitarajiwa kuongezeka hadi milioni 20 ifikapo Septemba.

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo
Africa Features

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Shambulio hilo lilitokea Jumapili jioni huko Bulongo katika jimbo la Kivu Kaskazini

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo
Africa Features

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Katika shambulio la hivi punde la waasi, watu 16 waliuawa 7 kujeruhiwa na magari yalichomwa wakati wa uvamizi wa usiku katika eneo lenye hali tete la mashariki, Shirika la Msalaba Mwekundu lilisema

Senegal yawakamata watatu kwa vifo vya watoto wachanga kwenye moto hospitalini
Africa Features Lifestyle & Health

Senegal yawakamata watatu kwa vifo vya watoto wachanga kwenye moto hospitalini

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Mkasa huo ulikuwa wa hivi punde zaidi katika mfululizo wa matukio mabaya yaliyoangazia mapungufu katika mfumo wa afya wa Senegal.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo