• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi
Africa Features People Politics

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Polisi wa Senegal waliziba njia ya kuelekea nyumbani kwake kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko baada yake kuitisha maandamano siku ya Ijumaa, wakati nchi hiyo ikiwa katika mvutano wa kabla ya uchaguzi.

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu DR Congo inasema waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji muhimu
East Africa Features Politics

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu DR Congo inasema waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji muhimu

Maureen MedzaJune 17, 2022

Wataalamu huru wanaoripoti kwa Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walisema Ijumaa kuwa waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji wa mashariki wa Goma, DR Congo

Morocco: Bei ya mafuta yapanda na kufikia viwango vya juu zaidi
Africa Features

Morocco: Bei ya mafuta yapanda na kufikia viwango vya juu zaidi

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Bei ya mafuta ya petroli ilipanda na kufikia kiwango cha juu zaidi nchini Morocco na kuzua hasira miongoni mwa vyama vya wafanyakazi

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023
Africa Features People Politics

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Abubakar, mgombea wa chama cha Peoples Democratic Party (PDP) anawania kiti cha urais kwa mara ya sita na atakuwa anakabiliana na mgombea wa chama tawala na gavana wa zamani wa Lagos Bola Tinubu

Ivory Coast: Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu sita
Africa Features Nature

Ivory Coast: Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu sita

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Watu sita walikufa baada ya mvua kubwa kusababisha mporomoko ya ardhi katika mji mkuu wa Ivory Coast Abidjan

Tanzania yaanza kuwahamisha Wamasai kutoka katika hifadhi ya Ngorongoro
East Africa Features Nature

Tanzania yaanza kuwahamisha Wamasai kutoka katika hifadhi ya Ngorongoro

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Jamii ya wamasai imeishi katika hifadhi hiyo, eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kaskazini mwa Tanzania, kwa zaidi ya karne moja.

Rais wa Somalia amemteua mbunge Hamza Abdi Barre kuwa Waziri Mkuu
Africa Features People Politics

Rais wa Somalia amemteua mbunge Hamza Abdi Barre kuwa Waziri Mkuu

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Mbunge huyo mwenye umri wa miaka 48 kutoka jimbo linalojitawala la Jubaland anachukua nafasi ya Mohamed Hussein Roble

EU yatia saini mkataba wa gesi na Misri na Israel kukomesha utegemezi kwa Urusi
Africa Europe Features Politics

EU yatia saini mkataba wa gesi na Misri na Israel kukomesha utegemezi kwa Urusi

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Israel na Misri zinapanga kuongeza mauzo ya gesi barani Ulaya chini ya makubaliano yaliyotiwa saini wakati wa ziara ya Jumatano ya rais wa Kamisheni ya Ulaya

Utapiamlo wa watoto waongezeka nchini Ethiopia huku ukame ukizidi kuwa mbaya
Africa Features Lifestyle & Health

Utapiamlo wa watoto waongezeka nchini Ethiopia huku ukame ukizidi kuwa mbaya

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Misimu minne mfululizo ya mvua haikunyesha katika eneo la Pembe ya Afrika, huku ya tano ikitarajiwa pia kuwa mbaya, na kusababisha ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40 na mzozo mkubwa wa njaa unaohusisha Kenya, Somalia na Ethiopia.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo