Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini
Mkasa huo ulitokea katika Hospitali ya Mame Abdou Aziz Sy Dabakh mjini Tivaouane, na ulisababishwa na hililafu ya umeme kulingana na mwanasiasa Diop Sy.
Mkasa huo ulitokea katika Hospitali ya Mame Abdou Aziz Sy Dabakh mjini Tivaouane, na ulisababishwa na hililafu ya umeme kulingana na mwanasiasa Diop Sy.
Mshambuliaji Salvador Ramos aliua watu 21 katika darasa moja
Wanamgambo wa M23 waliibuka kutoka kwa uasi wa Watutsi wa Congo mwaka wa 2013 ambao uliungwa mkono na nchi jirani za Rwanda na Uganda wakati huo.
Michuano ya kufuzu itaanza siku ya kwanza ya Juni 2022
Majirani hao wawili wamekuwa na uhusiano wa kikatili tangu mauaji ya kimbari ya 1994.
Tajiri huyo amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuwalawiti wasichana saba katika kituo cha watoto yatima alichoanzisha
Uchaguzi wa 2018 ulikuwa na makabidhiano ya kwanza ya amani ya mamlaka tangu nchi hiyo ipate uhuru kutoka kwa Ubelgiji mwaka 1960.
Kulingana na UN mapigano ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009.
Hadi hivi majuzi, wengi wao wanasema walikuwa wakitoza dola 7 kwa kikao kifupi kinachochukua kati ya dakika 15-20 na dola 40 kwa usiku mzima.
Mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa mwezi Aprili iliua watu 435 katika mafuriko na maporomoko ya ardhi.