• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini
Africa Features Lifestyle & Health

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Mkasa huo ulitokea katika Hospitali ya Mame Abdou Aziz Sy Dabakh mjini Tivaouane, na ulisababishwa na hililafu ya umeme kulingana na mwanasiasa Diop Sy.

Amerika: Watoto 19 na walimu wawili wauawa kwenye shambulio
Features International

Amerika: Watoto 19 na walimu wawili wauawa kwenye shambulio

Maureen MedzaMay 25, 2022May 26, 2022

Mshambuliaji Salvador Ramos aliua watu 21 katika darasa moja

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo
Africa Features Politics

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 25, 2022May 25, 2022

Wanamgambo wa M23 waliibuka kutoka kwa uasi wa Watutsi wa Congo mwaka wa 2013 ambao uliungwa mkono na nchi jirani za Rwanda na Uganda wakati huo.

Kenya na Zimbabwe zaondolewa katika mchujo wa kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika 2023
Africa Features Football Sports

Kenya na Zimbabwe zaondolewa katika mchujo wa kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika 2023

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Michuano ya kufuzu itaanza siku ya kwanza ya Juni 2022

Rwanda yasema watu kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi ya makombora DRC
Africa East Africa Features Politics

Rwanda yasema watu kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi ya makombora DRC

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Majirani hao wawili wamekuwa na uhusiano wa kikatili tangu mauaji ya kimbari ya 1994.

Tajiri wa Misri ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuwanyanyasa kijinsia watoto wadogo
Africa Features Gender

Tajiri wa Misri ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuwanyanyasa kijinsia watoto wadogo

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Tajiri huyo amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuwalawiti wasichana saba katika kituo cha watoto yatima alichoanzisha

DR Congo: Mvutano waongezeka kabla ya uchaguzi wa rais
Africa East Africa Features People Politics

DR Congo: Mvutano waongezeka kabla ya uchaguzi wa rais

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Uchaguzi wa 2018 ulikuwa na makabidhiano ya kwanza ya amani ya mamlaka tangu nchi hiyo ipate uhuru kutoka kwa Ubelgiji mwaka 1960.

Wanajihadi waua 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Africa Features Politics

Wanajihadi waua 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Kulingana na UN mapigano ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009.

Ghana: Wafanyabiashara wa ngono waongeza bei baada ya mgogogro wa kiuchumi kuathiri nchi
Africa Features Lifestyle & Health

Ghana: Wafanyabiashara wa ngono waongeza bei baada ya mgogogro wa kiuchumi kuathiri nchi

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Hadi hivi majuzi, wengi wao wanasema walikuwa wakitoza dola 7 kwa kikao kifupi kinachochukua kati ya dakika 15-20 na dola 40 kwa usiku mzima.

Mafuriko mapya yakumba Afrika Kusini
Africa Environment Features Nature

Mafuriko mapya yakumba Afrika Kusini

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa mwezi Aprili iliua watu 435 katika mafuriko na maporomoko ya ardhi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo