Mbunge wa Kenya amtaka Rais Samia kuelezea mbona alizuiliwa Kuingia Tanzania
Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere walimjulisha Babu Owino kuwa jina lake lilikuwa kwenye orodha ya watu wasio na kubalika nchini Tanzania.
Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere walimjulisha Babu Owino kuwa jina lake lilikuwa kwenye orodha ya watu wasio na kubalika nchini Tanzania.