Umoja wa Mataifa Watangaza Njaa Kuwa Janga Kuu huko Gaza Kwa mara Ya Kwanza Mashariki ya Kati
Takriban watu nusu milioni wanakabiliwa na hali ya “njaa, ufukara na kifo,” huku zaidi ya milioni moja wakiwa katika hatari ya dharura ya chakula.
Takriban watu nusu milioni wanakabiliwa na hali ya “njaa, ufukara na kifo,” huku zaidi ya milioni moja wakiwa katika hatari ya dharura ya chakula.