Elon Musk Anyimwa Malipo ya Fidia ya Dola Bilioni 56
Mahakama ya Delaware kwa mara nyingine tena imefutilia mbali malipo ya fidia ya dola bilioni 56 kwa Elon Musk, mtendaji mkuu wa kampuni ya magari ya umeme Tesla.
Mahakama ya Delaware kwa mara nyingine tena imefutilia mbali malipo ya fidia ya dola bilioni 56 kwa Elon Musk, mtendaji mkuu wa kampuni ya magari ya umeme Tesla.