Idadi ya Vifo Kufuatia Kuporomoka Kwa Jengo Kariakoo, Tanzania Imefikia 16
Haijabainika ni kwa nini jengo hilo liliporomoka lakini walioshuhudia waliambia vyombo vya habari kuwa ujenzi wa kupanua eneo lake la biashara la chinichini ulianza Ijumaa.
Haijabainika ni kwa nini jengo hilo liliporomoka lakini walioshuhudia waliambia vyombo vya habari kuwa ujenzi wa kupanua eneo lake la biashara la chinichini ulianza Ijumaa.