Rais William Ruto Amthubutu Raila Kuandaa Maandamano
Ruto alikuwa anamjibu odinga ambaye aliipa serikali ya Rais Ruto makataa ya siku 14 kupunguza gharama ya maisha la sivyo ataandaa maandamano kote nchini Kenya.
Ruto alikuwa anamjibu odinga ambaye aliipa serikali ya Rais Ruto makataa ya siku 14 kupunguza gharama ya maisha la sivyo ataandaa maandamano kote nchini Kenya.
Zaidi ya wanawake 70 wanaofanya kazi katika mashamba ya chai walifichua kwamba walikuwa wamenyanyaswa kingono na wasimamizi wao kwa miaka mingi
Odinga ambaye siku ya Jumatano Februari 22 aliandaa mkutano wa maombi katika bustani ya Jeevanjee jijini Nairobi alisema kuwa wakenya wamechoka na serikali ya Kenya Kwanza kutotimiza ahadi walizotoa katika kipindi cha kampeni.
According to the Christian faith, today is the first day of Lent occurring six-and-a-half weeks before Easter
An infection with the human immunodeficiency virus (HIV) was previously considered incurable
Bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 litasafirisha mafuta ghafi kutoka Ziwa Albert kaskazini magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanzania
Kutesa Denis aliwatambua waathiriwa wake kutoka wadi ya Magonjwa ya Wanawake na kisha kuwatia dawa inayoshukiwa kuwa chloroform kabla ya kuwabaka
Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.
Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.
Malawi has been battling its worst cholera outbreak on record, with nearly 37,000 cases reported since March 2022