Tanzania yaanza mgao wa maji kutokana na ukame
Wakazi milioni 5.5 watakwenda bila maji ya bomba kwa saa 24 kwa siku mbadala, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema.
Wakazi milioni 5.5 watakwenda bila maji ya bomba kwa saa 24 kwa siku mbadala, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema.
Ubalozi wa China nchini Tanzania ulisema kuwa ni propaganda dhidi ya kukua kwa uhusiano wake kati ya Afrika na China unaoenezwa na vyombo vya habari vya magharibi
Waziri Ummy amesema hayo jana 18 Oktoba 2022 wakati akiwasilisha muswada huo mbele ya Kamati ya Kudumu ya huduma na Maendeleo ya Jamii kwenye kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma.
Rais Samia ameweka jiwe hilo la msingi leo Jumanne ya Oktoba 18, 2022 ikiwa ni katika kuhitimisha ziara yake mkoani humo ambapo kabla ya uzinduzi huo tayari amefanya shughuli mbalimbali ikiwemo uzimaji wa majenereta baada ya Kigoma kuunganishwa na gridi ya Taifa.
Every year on the 14th of October, Tanzanians commemorate the death of the ‘Father of the Nation’, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, who was the first President of Tanzania.
Mbunge wa Aman (CCM), Mussa Hassan Mussa amefariki dunia leo Alhamisi Oktoba 13, 2022 nyumbani kwake visiwani Zanzibar.
Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Moshi na Mahakama ya Wilaya Moshi zimeahirisha kesi za ubakaji zinazomkabili Padri Sostenes Soka wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Mtakatifu Deonis Aropagita hadi Oktoba 25 kwa madai ni mgonjwa.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).
Makamba ameyasema hayo leo Oktoba 12, 2022 alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari ambapo amesema zaidi ya Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka kutokana kupumua moshi unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa.
Prof. Makubi amesema hayo, alipofanya ziara ya kukagua hali ya utoaji huduma katika Hospitali ya Mkoa ya Amana, ambapo alipata fursa ya kuongea Waganga Wafawidhi wa Hospitali za Amana, Mwananyamala, Temeke, Tumbi, Mbagala Rangitatu, Kigamboni walioongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume na pamoja na kamati za usimamizi za afya za Halmashauri.