Wanafunzi 8 wafariki kwenye ajali mkoani Mtwara, Rais Samia atuma salam za pole

Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Julai 26, 2022, baada ya basi lililokuwa limebeba wanafunzi wa Shule ya Msingi ya King David iliyopo Manispaa ya mtwara Mikindani  kutumbukia shimoni.