”Brace For a Party Like No Other In Naivasha”, CS Namwamba Tells Safari Rally Enthusiasts
At the official WRC Safari Rally flag-off, the cabinet secretary for youth affairs, sports, and arts CS assured Kenyans that…
At the official WRC Safari Rally flag-off, the cabinet secretary for youth affairs, sports, and arts CS assured Kenyans that…
Kampuni Ya, Bang Bet imetangaza kuwa itafadhili madereva wawili wa Mbio Za safari Rally, Gerald Maina, na John Ngugi Katika awamu ya mwaka huu la Mashindano ya Ubingwa wa Dunia (WRC) ya safari rally yatakayofanyika Kaunti ya Nakuru kati ya tarehe 22 na Tarehe 25 Juni 2023.
Ushoga ni kinyume cha sheria nchini Namibia chini ya sheria ya ulawiti iliyotekelezwa mwaka wa 1927 wakati wake chini ya utawala wa Afrika Kusini
Kenya, Uganda na Tanzania wamewasilisha rasmi ombi la kuandaa makala ya 2027 ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa pamoja
Rais wa kenya William Ruto amethibitisha msimamo wa Kenya wa kuwania kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2 (AFCON) 2027
Yanga yatawazwa mabingwa wa ligi kuu Bara kwa mara ya pili mtawalia. Yanga imetetea ubingwa wake baada ya kuishinda Dodoma Jiji magoli 4-2
Omanyala alipata ushindi baada ya kutumia muda wa 9.84
Kampuni ya Utangazaji ya Tanzania Azam TV wametia saini FKF za haki za utangazaji wenye thamani ya KES 8 milioni.
zaidi ya watu 110 wamefukuliwa katika Msitu wa Shakahola, Pwani ya kenya na mwinjilisti huyo maafufu amehusishwa pakubwa na maafa hayo
Zaidi ya Watu 110 wameuawa shakahola,kilifi na mkewe Mackenzie Amehusishwa pakubwa na maafa hayo