Jamhuri Yambana Lissu, Maswali Ya Dodoso
Lissu amesisitiza kuwa hana wajibu wa kuthibitisha kesi hiyo, akirejea misingi ya sheria ya ushahidi.
Lissu amesisitiza kuwa hana wajibu wa kuthibitisha kesi hiyo, akirejea misingi ya sheria ya ushahidi.
Lissu amewaambia majaji kwamba ushahidi alioutoa unaonyesha kuwa upande wa Jamhuri haujathibitisha vipengele muhimu vya kosa la uhaini, ikiwemo kuwepo kwa nia ya kutenda kosa hilo.
Tanzania’s Vice President Dr. Emmanuel John Nchimbi has resigned from office and announced his retirement from politics and public service, effective September 4, 2026.
Lissu amesema suala la uchaguzi na Katiba lilikuwa sehemu ya mjadala mpana ndani ya CHADEMA, na kwamba msimamo wa “No Reform, No Election” haukuanzishwa na yeye binafsi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema kesi ya uhaini inayomkabili ni mwendelezo wa kesi mbalimbali za kisiasa ambazo amedai amekuwa akifunguliwa na Serikali kwa miaka mingi kutokana na misimamo na shughuli zake za kisiasa.
Cosplay has taken hold in Kenya, where fans must often get creative to dress up as their fantasy heroes.
Lissu amekuwa shahidi wa kwanza wa utetezi na ameanza kutoa ushahidi wake chini ya kiapo, akieleza kuwa hajawahi kutoa ushahidi mahakamani na hivyo kuomba aongozwe katika hatua hiyo.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, anatarajiwa kuanza kujitetea leo, Ijumaa Agosti 21, 2026, katika kesi ya uhaini inayomkabili, huku Mahakama Kuu ikijiandaa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi lililowasilishwa na upande wa Jamhuri dhidi ya baadhi ya mashahidi aliowataja Lissu.
The High Court of Tanzania, Dar es Salaam Zone, has ruled that the National Chairman of CHADEMA, Tundu Lissu, has a case to answer in the treason case facing him, after the prosecution established a prima facie case.
Ecuador’s intelligence chief and five US citizens died when a tourist helicopter crashed in central Kenya on Wednesday, killing all seven people on board, officials said.