LISSU: CDF.Mkunda, IGP.Wambura Na DCI Kingai Wako Nje Ya Nchi
Mashahidi watatu wa utetezi ambao Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, iliamuru waitwe kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu,imeelezwa kuwa wako nje ya nchi, hali iliyosababisha kesi hiyo kuahirishwa hadi Ijumaa, Septemba 18, 2026.