• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Kesi ya Tundu Lissu: Safari kutoka kukamatwa Mbinga hadi kusubiri uamuzi wa Mahakama
Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Tundu Lissu: Safari kutoka kukamatwa Mbinga hadi kusubiri uamuzi wa Mahakama

Asia GambaAugust 18, 2026

Safari ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imechukua zaidi ya mwaka mmoja tangu alipokamatwa katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Aprili 9, 2025.

Hichilema ashinda muhula mwingine wa urais Zambia kwa asilimia 60
Africa Politics

Hichilema ashinda muhula mwingine wa urais Zambia kwa asilimia 60

Asia GambaAugust 18, 2026

Ushindi wa Hichilema, mwenye umri wa miaka 64, ulitarajiwa kwa kiasi kikubwa. Alikuwa akikabiliwa na wagombea 13, akiwemo aliyekuwa waziri wa zamani wa mkoa, Brian Mundubile, ambaye alikuwa akigombea urais kwa mara ya kwanza.

Rais wa Tanzania azindua tume ya kuchunguza wahusika wa ghasia za uchaguzi wa 2025
Africa East Africa Politics Tanzania

Rais wa Tanzania azindua tume ya kuchunguza wahusika wa ghasia za uchaguzi wa 2025

Asia GambaAugust 7, 2026

Tume hiyo imepewa jukumu la kuchunguza kwa kina watu waliohusika katika ghasia hizo, ikiwa ni pamoja na kubaini waliochochea matukio hayo na waliotoa fedha au rasilimali zilizowezesha kutokea kwa ghasia.

Kizza Besigye hawezi kuzungumza, hali yake bado ni dhaifu – mkewe
Africa East Africa Politics Uganda

Kizza Besigye hawezi kuzungumza, hali yake bado ni dhaifu – mkewe

Asia GambaAugust 4, 2026

Besigye, mwenye umri wa miaka 70 na mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni, amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Mulago mjini Kampala baada ya kuanguka ghafla wakati kesi yake ikiendelea mahakamani Julai 30.

CHADEMA: Hakuna mazungumzo ya siri, Lissu aachiliwe huru kwanza
Africa East Africa Politics Tanzania

CHADEMA: Hakuna mazungumzo ya siri, Lissu aachiliwe huru kwanza

Asia GambaAugust 3, 2026

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijawahi kufanya mazungumzo ya siri na serikali kuhusu maridhiano ya kisiasa, kikisisitiza kuwa msimamo wake unabaki ule ule wa kutaka Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kuachiwa huru bila masharti kabla ya hatua nyingine zozote za kisiasa.

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani
Africa East Africa People Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani

Asia GambaJuly 30, 2026

Besigye mwenye umri wa miaka 70, anayekabiliwa na mashtaka ya uhaini kwa madai ya kupanga njama dhidi ya Rais Yoweri Museveni, alianguka Jumatano wakati wa kusikilizwa kwa kesi yake baada ya kukataa mawakili aliopangiwa na serikali. Kabla ya kuanguka, alikuwa akilalamikia kuzuiwa kwa mawakili wake binafsi kumwakilisha.

AI yaibuka mshenga mpya wa ndoa nchini Japan
Africa East Africa Science & Tech Tanzania Uncategorized

AI yaibuka mshenga mpya wa ndoa nchini Japan

Asia GambaJuly 28, 2026

Mamia ya watu nchini Japan wamefanikiwa kufunga ndoa baada ya kukutana kupitia programu ya kutafuta wapenzi inayotumia akili bandia (AI), iliyozinduliwa na Serikali ya Jiji la Tokyo mwaka 2024 ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na kiwango cha chini cha uzazi nchini humo.

Tanzania yatetea mpango wa uhamaji wa hiari Ngorongoro mbele ya UNESCO
Africa East Africa Environment Tanzania Uncategorized

Tanzania yatetea mpango wa uhamaji wa hiari Ngorongoro mbele ya UNESCO

Asia GambaJuly 27, 2026

Serikali ya Tanzania imeutetea mpango wa uhamaji wa hiari wa wakazi wa Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro mbele ya Kamati ya Urithi wa Dunia ya UNESCO, ikisema hatua hiyo inalenga kulinda haki za binadamu, kuhifadhi utu wa wananchi na wakati huo huo kuhakikisha uendelevu wa uhifadhi wa eneo hilo.

Chadema yadai Tundu Lissu yuko hatarini gerezani, yataka hatua za haraka
East Africa Politics Tanzania

Chadema yadai Tundu Lissu yuko hatarini gerezani, yataka hatua za haraka

Asia GambaJuly 27, 2026

Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumatatu, Julai 27, na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa chama hicho, Brenda Rupia, CHADEMA imesema imepokea taarifa kutoka kwa shirika la World Liberty Congress, linalojihusisha na masuala ya demokrasia, haki za binadamu na utawala wa sheria, zikieleza kuwepo kwa hofu kuhusu usalama wa Lissu.

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki
East Africa Politics Tanzania

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki

Asia GambaJuly 27, 2026

Wakili na mwanaharakati wa haki za binadamu Peter Madeleka ametangaza rasmi kujiondoa ndani ya Chama cha ACT Wazalendo, akisema anataka kutumia muda na nguvu zake zaidi katika kupigania haki za wananchi na ustawi wa taifa nje ya siasa za chama.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy