Heche:Hatuwezi kufanya mazungumzo yoyote kama Lissu yupo gerezani
“Tumeshasema wazi, mtu anayeweza kuongoza chama hiki kufanya maamuzi yoyote yuko gerezani. Mwachieni Lissu” alisema Heche
“Tumeshasema wazi, mtu anayeweza kuongoza chama hiki kufanya maamuzi yoyote yuko gerezani. Mwachieni Lissu” alisema Heche
Itakumbukwa kuwa Juni 10,2025 Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, ilizuia kwa muda shughuli za kisiasa za chama hicho Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, baada ya aliyekuwa makamu mwenyekiti wa chama hicho upande wa Zanzibar, Said Issa Mohamed, na wenzake, kufungua kesi ya msingi wakilalamikia hatua ya chama hicho kuibagua Zanzibar katika shughuli zake, zikiwemo rasilimali za kifedha.
Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025 katika Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wakati wa operesheni maalum iliyopewa jina la “No Reforms No Election”, kampeni iliyolenga kushinikiza mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini.
King’ora cha tahadhari ya mashambulizi ya anga kimelia katika maeneo mbalimbali ya Israel, ikiwemo kitovu cha biashara cha Tel Aviv na mji wa pwani wa kusini wa Ashdod, kufuatia mashambulizi ya makombora kutoka Lebanon.
Ongezeko hili kubwa zaidi ya asilimia 33 kwa petroli na dizeli ndani ya mwezi mmoja linatokana na mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati, kati ya Marekani, Israel na Iran, ulioonza tangu Februari 28, 2026.
Bei ya mafuta imepanda huku masoko ya hisa yakionyesha mwelekeo tofauti leo Jumanne, kutokana na kutokuwa na uhakika kuhusu hatma ya vita vya Mashariki ya Kati .
Mnamo Juni 2024, wimbi la maandamano lililoongozwa na kile kinachoitwa “Gen Z” lilienea nchini baada ya Rais William Ruto kutangaza ongezeko la kodi, jambo lililopunguza umaarufu wake miongoni mwa vijana.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, ametoa tuhuma nzito dhidi ya…
Ameeleza sababu tano kuu, ikiwemo kuwa yuko kizuizini tangu Aprili 2025, pamoja na hali yake ya afya inayohitaji uangalizi wa mara kwa mara kufuatia jaribio la mauaji dhidi yake mwaka 2017.
Zaidi ya familia 3,000 zimelazimika kuondoka makwao katika jamii ya Nyakach, huku baadhi wakikimbilia katika vituo vinane vya muda, wakazi walisema, wakati maji kutoka mto Mirui unaofurika yakiendelea kuhatarisha eneo hilo.