Mapenzi yawapeleka kileleni:Wapenzi Wakamatwa Juu ya Empire State wakichumbiana
Watu wawili wamekamatwa siku ya Jumatano baada ya kupanda hadi kwenye mnara wa antena uliopo juu ya Jengo la Empire State jijini New York, Marekani, huku ikionekana kuwa walifanya tukio la uchumba wakiwa huko.