• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Mapenzi yawapeleka kileleni:Wapenzi Wakamatwa Juu ya Empire State wakichumbiana
Europe Social Issues

Mapenzi yawapeleka kileleni:Wapenzi Wakamatwa Juu ya Empire State wakichumbiana

Asia GambaJuly 2, 2026

Watu wawili wamekamatwa siku ya Jumatano baada ya kupanda hadi kwenye mnara wa antena uliopo juu ya Jengo la Empire State jijini New York, Marekani, huku ikionekana kuwa walifanya tukio la uchumba wakiwa huko.

Mtu mmoja afariki dunia huku wengine saba wakijeruhiwa kwa mlipuko wa baruti
Social Issues Tanzania

Mtu mmoja afariki dunia huku wengine saba wakijeruhiwa kwa mlipuko wa baruti

Asia GambaJuly 2, 2026

Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza DCP Wilbrod Mutafungwa amesema ​aliyefariki dunia katika ajali hiyo ni Marco Msenyere (52), mpasua mawe na mkazi wa Semba-Lwanhima. Wakati wa tukio hilo, marehemu alikuwa na wenzake wakinywa kahawa kwenye kibanda hicho akiwa na begi dogo ambalo ndani yake lilikuwa na baruti hizo.

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda

Asia GambaJune 30, 2026

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala
East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala

Asia GambaJune 29, 2026

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda na mtetezi wa haki za wanawake, Miria Matembe, mwenye umri wa miaka 72, ameripotiwa kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa maofisa wa usalama baada ya kujificha kwa siku mbili kufuatia msako uliofanywa nyumbani kwake eneo la Luzira, jijini Kampala.

Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor
Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto
Africa Lifestyle & Health

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto

Asia GambaJune 22, 2026

Halothane bado inatumika kwa kiasi kikubwa katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kuwapa watoto usingizi wakati wa upasuaji. Sababu kuu ni kwamba dawa hiyo ni nafuu zaidi, ikiwa na gharama mara saba hadi kumi chini ya mbadala wake wa kisasa, sevoflurane.

Waziri Mkuu afafanua utata wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara
Africa East Africa People Politics Social Issues Tanzania

Waziri Mkuu afafanua utata wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara

Asia GambaJune 18, 2026

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefafanua mjadala ulioibuka hivi karibuni kuhusu upatikanaji wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara, akisisitiza kuwa ushirikiano uliopo kati ya mifuko ya bima ya afya ya pande mbili za Muungano unaendelea kuruhusu wananchi kupata huduma bila ubaguzi.

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania
Europe Politics Tanzania Uncategorized

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania

Asia GambaJune 18, 2026

Kamati ya Mahusiano ya Kigeni yabunge la Marekani imeidhinisha miswada mitano ya sera za mambo ya nje, ikiwemo muswada unaotaka kufanyika kwa tathmini ya kina ya uhusiano kati ya Marekani na Tanzania kufuatia kile wabunge wa Marekani wanachokitaja kuwa kuongezeka kwa vurugu za kisiasa na kudorora kwa demokrasia nchini humo.

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga
Africa East Africa Politics Tanzania

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga

Asia GambaJune 17, 2026

Katika mchango wake, Waitara alisema viongozi wanapaswa kuwa waangalifu wanapozungumza hadharani ili kulinda umoja wa kitaifa na kuzuia kauli zinazoweza kuibua taharuki au migawanyiko katika jamii.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy