Three Ugandan Activists Arrested After Peaceful Protest in Kampala
The activists, Praise Aloikin , Claire Namara and Norah Kobusingye, were arrested by police and are currently being held at Wandegeya Police Station.
The activists, Praise Aloikin , Claire Namara and Norah Kobusingye, were arrested by police and are currently being held at Wandegeya Police Station.
Ingabire aliwahi kuhukumiwa kifungo cha miaka minane gerezani mwaka 2012 kwa makosa yaliyohusisha “kudharau mauaji ya kimbari” na “kutishia usalama wa taifa.” Hukumu hiyo ilitokana na hotuba aliyotoa aliporejea Rwanda kutoka uhamishoni, ambapo alitaka kutambuliwa pia kwa waathiriwa wa Kihutu waliouawa wakati wa mauaji hayo ya mwaka 1994.
Alibainisha kuwa serikali ya Tanzania inachukulia kwa uzito madai hayo, na imekuwa ikifanya uchunguzi wa kina kuhusu kila tukio linaloripotiwa.
Baadhi ya wahuni hao walikuwa wamejihami kwa marungu na visu, na waliripotiwa kuwahangaisha raia na waandamanaji.
The goons were seen confronting protestors who were peacefully marching for justice and accountability following Ojwang’s death in police custody.
Licha ya kutohukumiwa, Lissu amedai amekuwa akishikiliwa kwenye eneo maalum la wafungwa wanaosubiri kunyongwa (death row) ndani ya Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam.
The Kenya Human Rights Commission and other watchdogs are urging the Independent Policing Oversight Authority (IPOA) to act swiftly, warning that public trust in law enforcement is eroding fast.
The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) watchdog said in a statement that Samson Talaam, the head of the central Nairobi police station where the incident occurred, had been arrested along with an unnamed civilian.
Protestors both for and against the bill gathered outside parliament, as lawmakers debated the contentious proposals for legalised euthanasia currently making their way through parliament.
The international community continues to call for urgent action to protect human rights in Tanzania and ensure justice for those who have been subjected to abuse.