Ngorongoro reports could worsen Maasai land dispute, warns lawyer Denis Oleshangay
Oleshangay said the recommendations appear to push toward removing people from Ngorongoro instead of addressing the concerns raised by residents.
Oleshangay said the recommendations appear to push toward removing people from Ngorongoro instead of addressing the concerns raised by residents.
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Angaza Mwipopo baada ya mahakama kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na upande wa Jamhuri. Akisoma hukumu, Jaji Mwipopo amesema kuwa ushahidi uliotolewa ulithibitisha kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Desemba 14, 2024 katika eneo la Ipogolo.
In a video message shared online, Wine said he had left Uganda to handle what he described as critical engagements abroad and promised to return.
The ruling is expected to clarify whether the actions taken during Tanzania’s 2020 elections met the standards required under African human rights and electoral laws.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha msimamo wake mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa…
Kenya has historically been seen as a safe space for exiled activists and regional human rights defenders. However, recent events have raised questions about whether that space is shrinking.
Mahakama ilibaini kuwa notisi iliyowasilishwa na Jamhuri ilikuwa ya maelezo ya nyongeza yasiyoangukia katika masharti ya kifungu hicho, hivyo haikuwa na msingi wa kupokelewa katika hatua ya sasa ya shauri.
Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.
Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.
A self-proclaimed preacher in Kenya linked to an infamous starvation cult that killed more than 400 people was charged on Wednesday over a further 52 deaths, prosecutors said.