Jamhuri Yambana Lissu, Maswali Ya Dodoso
Lissu amesisitiza kuwa hana wajibu wa kuthibitisha kesi hiyo, akirejea misingi ya sheria ya ushahidi.
Lissu amesisitiza kuwa hana wajibu wa kuthibitisha kesi hiyo, akirejea misingi ya sheria ya ushahidi.
Lissu amewaambia majaji kwamba ushahidi alioutoa unaonyesha kuwa upande wa Jamhuri haujathibitisha vipengele muhimu vya kosa la uhaini, ikiwemo kuwepo kwa nia ya kutenda kosa hilo.
Lissu amesema suala la uchaguzi na Katiba lilikuwa sehemu ya mjadala mpana ndani ya CHADEMA, na kwamba msimamo wa “No Reform, No Election” haukuanzishwa na yeye binafsi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema kesi ya uhaini inayomkabili ni mwendelezo wa kesi mbalimbali za kisiasa ambazo amedai amekuwa akifunguliwa na Serikali kwa miaka mingi kutokana na misimamo na shughuli zake za kisiasa.
Lissu amekuwa shahidi wa kwanza wa utetezi na ameanza kutoa ushahidi wake chini ya kiapo, akieleza kuwa hajawahi kutoa ushahidi mahakamani na hivyo kuomba aongozwe katika hatua hiyo.
The court said the prince and six other high-profile figures, who lost their unlawful information gathering and privacy invasions claim against Associated Newspapers Limited (ANL), must make the payment within a week.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, anatarajiwa kuanza kujitetea leo, Ijumaa Agosti 21, 2026, katika kesi ya uhaini inayomkabili, huku Mahakama Kuu ikijiandaa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi lililowasilishwa na upande wa Jamhuri dhidi ya baadhi ya mashahidi aliowataja Lissu.
Police in Zambia have confirmed that former government minister and opposition lawmaker Mutotwe Kafwaya was shot dead during a joint security operation at the residence of opposition leader Brian Mundubile, following last week’s elections.
Violence broke out on Sunday ahead of a rally in Homa Bay, in the country’s southwest, by opposition movement Linda Mwananchi, which is seeking to oust President William Ruto in elections due next year.According to RSF, at least eight journalists were assaulted and media vehicles vandalised, both before and during the rally.
Vietnamese authorities have countered days of online outrage over a senior official avoiding charges for a fatal car crash — with a showpiece broadcast showing the dead young woman’s father backing the decision.