Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.
Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.
Idadi ndogo ya wapiga kura imeonekana katika vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam leo Jumatano, wakati ambapo wapinzani wakuu wa Rais Samia Suluhu Hassan wengine wakiwa gerezani na wengine wamezuiwa kugombea.
Wachambuzi wanasema hofu hiyo imemfanya Hassan kutafuta uhalali mkubwa kupitia uchaguzi, kwa kuhakikisha hakuna dalili ya upinzani ndani ya chama wala nje yake.
Monday’s meeting would consider “a draft resolution on the Israeli attack on the State of Qatar” to be drafted Sunday at a ministerial meeting, said foreign ministry spokesman Majed al-Ansari.
Esperanza Gomez, one of Colombia’s best-known adult content actresses, said she posted photographs of herself in her underwear as part of her job.
Grieving families of those killed in Nepal’s anti-corruption demonstrations say they hope the deaths will not be in vain, as the protesters’ choice of interim prime minister took charge Saturday.
DJ Gloria, whose real name is Madelein Mansson, plays Sweden’s hottest nightclubs with special gigs for crowds over the age of 50 — ID cards required! — which primarily draw women who just want to get down and boogie.
The 29-year-old is one of 17 Kenyans to have qualified for Zurich where the globe’s top athletes will be compete on Wednesday and Thursday.