• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Politics

Op-ed: Hakuna Kisingizio cha Mauaji ya Umati
Crime & Justice East Africa Opinion Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Op-ed: Hakuna Kisingizio cha Mauaji ya Umati

Jeffrey SmithJune 3, 2026

Mtihani uliopo sasa ni kama kanda hii, pamoja na dunia pana, itasimama kwa mshikamano wa kweli na Watanzania kudai ukweli na haki, au itatazama kimya

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali
People Politics

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali

Asia GambaJune 3, 2026

Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar, Simai Mohammed Said, kutoa kauli kali dhidi ya kile alichodai kuwa ni usaliti unaofanywa na mmoja wa viongozi waliopo ndani ya Serikali.

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito
Africa Crime & Justice East Africa Politics Social Issues Tanzania

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito

Mwanzo EditorMay 21, 2026

Katika simulizi yake iliyojaa taharuki, Jumbe amesema tukio hilo lilianza majira ya saa nne usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Mabwepande, Bunju, akiwa ameambatana na rafiki yake aliyemtaja kwa jina la Macha.

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili
Africa East Africa Kenya People Politics War & Conflicts

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili

Asia GambaMay 19, 2026

Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema
East Africa Politics Tanzania

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema

Asia GambaMay 14, 2026

Ukosoaji huo umeongezeka katika mtandao wa X, ambapo viongozi mbalimbali wa kisiasa, wanasheria na watetezi wa haki za binadamu wameeleza wasiwasi wao kuhusu kile wanachodai kuwa ni matumizi ya mamlaka yanayoweza kuhatarisha demokrasia na ushindani wa kisiasa nchini.

Warioba Questions Secrecy of Judge Chande Report, Claims He Faced Threats From State Officials
East Africa People Politics Tanzania

Warioba Questions Secrecy of Judge Chande Report, Claims He Faced Threats From State Officials

Joy CheptooMay 11, 2026

Warioba said some of his friends feared he could face abduction or poisoning because of his outspoken views, but maintained that he would continue speaking on issues affecting the country.

Rais Mstaafu Wa Botswana Mogae Afariki Dunia Akiwa Na Miaka 86
Africa Politics

Rais Mstaafu Wa Botswana Mogae Afariki Dunia Akiwa Na Miaka 86

Wadh KassimMay 8, 2026

Rais wa zamani wa Botswana Festus Gontebanye Mogae, aliyeliongoza taifa hilo la kusini mwa Afrika kwa muongo mmoja kuanzia 1998 na kupata sifa kwa mapambano dhidi ya UKIMWI, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, ikulu imetangaza Ijumaa.

Mahakama Afrika Kusini Yafufua Mchakato Wa Kumuondoa Ramaphosa Madarakani
Africa Crime & Justice People Politics

Mahakama Afrika Kusini Yafufua Mchakato Wa Kumuondoa Ramaphosa Madarakani

Wadh KassimMay 8, 2026

Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini imebatilisha kura ya Bunge la Taifa ya Desemba 13, 2022, iliyozuia kuanzishwa kwa mchakato wa kumwondoa madarakani Rais Cyril Ramaphosa kufuatia kashfa ya wizi wa fedha taslimu katika shamba lake.

S.Africa Court Overturns Vote that Quashed Impeachment Proceedings Against President
Africa Crime & Justice People Politics

S.Africa Court Overturns Vote that Quashed Impeachment Proceedings Against President

Wadh KassimMay 8, 2026

The scandal revolved around about half-a-million dollars in cash that Ramaphosa acknowledged were stolen from beneath sofa cushions at his ranch.

Activists Slam President Samia’s Remarks on Gen Z Crackdown, Demand Immediate Apology
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Activists Slam President Samia’s Remarks on Gen Z Crackdown, Demand Immediate Apology

Mwanzo EditorMay 6, 2026

“Young people do not need anyone’s permission to claim their rights. Not from Suluhu, not from Ruto. These rights are theirs.”

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy