Op-ed: Hakuna Kisingizio cha Mauaji ya Umati
Mtihani uliopo sasa ni kama kanda hii, pamoja na dunia pana, itasimama kwa mshikamano wa kweli na Watanzania kudai ukweli na haki, au itatazama kimya
Mtihani uliopo sasa ni kama kanda hii, pamoja na dunia pana, itasimama kwa mshikamano wa kweli na Watanzania kudai ukweli na haki, au itatazama kimya
Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar, Simai Mohammed Said, kutoa kauli kali dhidi ya kile alichodai kuwa ni usaliti unaofanywa na mmoja wa viongozi waliopo ndani ya Serikali.
Katika simulizi yake iliyojaa taharuki, Jumbe amesema tukio hilo lilianza majira ya saa nne usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Mabwepande, Bunju, akiwa ameambatana na rafiki yake aliyemtaja kwa jina la Macha.
Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.
Ukosoaji huo umeongezeka katika mtandao wa X, ambapo viongozi mbalimbali wa kisiasa, wanasheria na watetezi wa haki za binadamu wameeleza wasiwasi wao kuhusu kile wanachodai kuwa ni matumizi ya mamlaka yanayoweza kuhatarisha demokrasia na ushindani wa kisiasa nchini.
Warioba said some of his friends feared he could face abduction or poisoning because of his outspoken views, but maintained that he would continue speaking on issues affecting the country.
Rais wa zamani wa Botswana Festus Gontebanye Mogae, aliyeliongoza taifa hilo la kusini mwa Afrika kwa muongo mmoja kuanzia 1998 na kupata sifa kwa mapambano dhidi ya UKIMWI, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, ikulu imetangaza Ijumaa.
Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini imebatilisha kura ya Bunge la Taifa ya Desemba 13, 2022, iliyozuia kuanzishwa kwa mchakato wa kumwondoa madarakani Rais Cyril Ramaphosa kufuatia kashfa ya wizi wa fedha taslimu katika shamba lake.
The scandal revolved around about half-a-million dollars in cash that Ramaphosa acknowledged were stolen from beneath sofa cushions at his ranch.
“Young people do not need anyone’s permission to claim their rights. Not from Suluhu, not from Ruto. These rights are theirs.”