Wakili Boniface Mwabukusi ashinda rufaa, kuwania urais TLS
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface…
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface…
Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama na mkewe Michelle wamemuidhinisha Makamu wa Rais wa Kamala Harris kugombea urais utakaoandaliwa…
Wanachama kadhaa wa ODM, wengine ambao wanahudumu kwa sasa kama wabunge, wameteuliwa na Rais William Ruto kujiunga na Baraza Jipya…
Polisi nchini Uganda wamezagaa kila kona ya mji Mkuu wa nchi hiyo ili kudhibiti maandamano yaliyopangwa kufanywa leo Jumanne licha ya kuwa mamlaka zimepiga marufuku maandamano hayo.
Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama amemsifia Rais Joe Biden kwa kujiondoa kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka. Obama ametaja…
Hatua hiyo inajiri siku mbili baada ya Rais Yoweri Museveni, ambaye ametawala nchi hiyo kwa mkono wa chuma kwa takriban miongo minne, kuonya kwamba Waganda wanaopanga kuingia mitaani Jumanne “wanacheza na moto”.
Itakumbukwa kuwa taarifa ya Ikulu ya utenguzi wa Nape ilimkuta Waziri huyo wa zamani akiwa katikati ya hafla ya utoaji tuzo za wanawake wa kidigitali zilizofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam ambako alikuwa mgeni rasmi. Shughuli hiyo ilikuwa ikirushwa mubashara na kituo cha televisheni cha TV E. iliyotumwa kati ya majira ya saa mbili usiku na saa tatu.
Rais william Ruto siku ya Ijuma amefanya uteuzi wa baraza lake la mawazi ambapo amewateuwa mawaziri 11 kati ya 22…
A research study released by the Trends and Insights For Africa (TIFA) says 81% of Kenyans support the Gen Z…
Wiki chache baada ya kupiga kura, ANC ilifikia makubaliano ya kugawana madaraka ambayo hayajawahi kufanywa na vyama vingine 10, ikijipatanisha na mrengo wa kati katika hatua ambayo baadhi ya wachambuzi walisema ingewahakikishia wawekezaji.