• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Politics

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani
Africa East Africa People Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani

Asia GambaJuly 30, 2026

Besigye mwenye umri wa miaka 70, anayekabiliwa na mashtaka ya uhaini kwa madai ya kupanga njama dhidi ya Rais Yoweri Museveni, alianguka Jumatano wakati wa kusikilizwa kwa kesi yake baada ya kukataa mawakili aliopangiwa na serikali. Kabla ya kuanguka, alikuwa akilalamikia kuzuiwa kwa mawakili wake binafsi kumwakilisha.

Tanzania lifts ban on public gatherings
Africa East Africa Politics Tanzania

Tanzania lifts ban on public gatherings

Kevin SeweJuly 29, 2026July 29, 2026

Police have announced it will resume receiving notices from organisers of public meetings, citing an improvement in the country’s security situation.

CHADEMA Raises Alarm Over Tundu Lissu’s Safety in Detention
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

CHADEMA Raises Alarm Over Tundu Lissu’s Safety in Detention

Joy CheptooJuly 27, 2026July 28, 2026

The World Liberty Congress has also called on the Tanzanian government to immediately and unconditionally release Tundu Lissu, while urging the international community, democratic governments and human rights organizations to closely monitor his situation.

Chadema yadai Tundu Lissu yuko hatarini gerezani, yataka hatua za haraka
East Africa Politics Tanzania

Chadema yadai Tundu Lissu yuko hatarini gerezani, yataka hatua za haraka

Asia GambaJuly 27, 2026

Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumatatu, Julai 27, na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa chama hicho, Brenda Rupia, CHADEMA imesema imepokea taarifa kutoka kwa shirika la World Liberty Congress, linalojihusisha na masuala ya demokrasia, haki za binadamu na utawala wa sheria, zikieleza kuwepo kwa hofu kuhusu usalama wa Lissu.

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki
East Africa Politics Tanzania

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki

Asia GambaJuly 27, 2026

Wakili na mwanaharakati wa haki za binadamu Peter Madeleka ametangaza rasmi kujiondoa ndani ya Chama cha ACT Wazalendo, akisema anataka kutumia muda na nguvu zake zaidi katika kupigania haki za wananchi na ustawi wa taifa nje ya siasa za chama.

Tanzanian Lawyer Peter Madeleka Leaves ACT Wazalendo
East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Tanzanian Lawyer Peter Madeleka Leaves ACT Wazalendo

Joy CheptooJuly 27, 2026

Madeleka joined ACT Wazalendo after leaving CHADEMA, where he had been a longtime member and supporter.

Senegal President Faye launches new party after split with former ally Sonko
Politics

Senegal President Faye launches new party after split with former ally Sonko

Kevin SeweJuly 26, 2026

Sonko’s allies promptly appointed him speaker of parliament and he remains the undisputed leader of Pastef, which controls 130 of the 165 seats in Senegal’s single legislative chamber.

South Africa court pauses impeachment proceedings against president
Africa Politics

South Africa court pauses impeachment proceedings against president

Kevin SeweJuly 24, 2026

A South African court ruled on Friday in favour of President Cyril Ramaphosa’s bid to pause impeachment proceedings against him over a scandal involving half-a-million dollars stashed in a sofa at his ranch.

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu
Africa East Africa Politics Tanzania

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu

Asia GambaJuly 21, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuendelea kuchangia chama na Baraza Kuu, wakati akiwasili katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, ambako usikilizwaji wa shauri la kikatiba namba 7300/2026 unaendelea leo.

East Africans find fragile refuge in Kenya as repression soars
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Tanzania Uganda

East Africans find fragile refuge in Kenya as repression soars

Mwanzo EditorJuly 20, 2026

Dozens of Ugandans and Tanzanians are thought to be hiding in neighbouring Kenya after recent elections in their countries triggered mass arrests, kidnappings, and murders.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy