Lissu: Jamhuri Imeshindwa Kuthibitisha Kesi, Naomba Mahakama Itamke Sina Kesi ya Kujibu
Akiwasilisha hoja yake ya “No Case to Answer”, Lissu amesema Jamhuri imeshindwa kuthibitisha kuwepo kwa nia ya kutenda uhaini pamoja na vitendo vinavyothibitisha nia hiyo.
Mwanzo Tv News