Lissu: Jamhuri Imeshindwa Kuthibitisha Kesi, Naomba Mahakama Itamke Sina Kesi ya Kujibu

Akiwasilisha hoja yake ya “No Case to Answer”, Lissu amesema Jamhuri imeshindwa kuthibitisha kuwepo kwa nia ya kutenda uhaini pamoja na vitendo vinavyothibitisha nia hiyo.