Ethiopia yasheherekea mwaka mpya 2014
Sikukuu ya mwaka mpya nchini Ethiopia inasheherekewa 11 Septemba,ikijulikana kama Enkutatash,katika lugha ya Amharic, lugha rasmi ya Ethiopia. Sikukuu hii ikiwa ni ya kusheherekea siku ya kwanza ya mwaka ya Meskerem, kulingana na kalenda ya Ethiopia.