Mtoto aliyepotea wakati wa kuhamishwa kwa maelfu ya wa Afghanistan aunganishwa na jamaa zake
Uwanja wa ndege wa Kabul ulivamiwa mwezi Agosti wakati maelfu ya watu walipokuwa wakihama kwenda Amerika baada ya majeshi ya Amerika kuondoka Afghanistan.
Uwanja wa ndege wa Kabul ulivamiwa mwezi Agosti wakati maelfu ya watu walipokuwa wakihama kwenda Amerika baada ya majeshi ya Amerika kuondoka Afghanistan.