Mali inaitaka Denmark kuwaondoa wanajeshi wake kutoka nchini humo mara moja
Serikali ya jeshi ilisema katika taarifa kwamba “wanajeshi hao walitumwa nchini humo bila idhini.”
Serikali ya jeshi ilisema katika taarifa kwamba “wanajeshi hao walitumwa nchini humo bila idhini.”