Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kutohudhuria mkutano wa kurejesha amani Ethiopia
Mkutano huo unafaa kufanyika nchini Afrika Kusini kuanzia kesho chini ya uongozi wa aliyekuwa rais wa Nigeria Olesgun Obasanjo.
Mkutano huo unafaa kufanyika nchini Afrika Kusini kuanzia kesho chini ya uongozi wa aliyekuwa rais wa Nigeria Olesgun Obasanjo.