Mwanaume akamatwa kwa kumuua mwanae wa miezi 4
Mtoto huyo mchanga, ambaye mshukiwa anadai si mwanawe wa kumzaa, alifariki baada ya kuanguka sakafuni.
Mtoto huyo mchanga, ambaye mshukiwa anadai si mwanawe wa kumzaa, alifariki baada ya kuanguka sakafuni.