Kenya: Idara ya upelelezi yaanza kuchunguza madai ya mbunge kuhusu wizi wa kura.
Mbunge huyo mapema Jumatatu alidai kuwa, serikali inapanga kusafirisha shehena 40 ya karatasi zilizotiwa alama ya kupiga kura
Mbunge huyo mapema Jumatatu alidai kuwa, serikali inapanga kusafirisha shehena 40 ya karatasi zilizotiwa alama ya kupiga kura