Rais Ruto Atumia “Minofu Ya Maendeleo” Kuinasa Nyanza .
Rais wa Kenya WIlliam Ruto na naibu rais Rigathi Gachagua Jumanne asubuhi Wameandaa kikao na viongozi kutoka eneo la Nyanza katika ikulu ya Nairobi kufuatia ziara yake ya hivi majuzi katika eneo hilo.