Mwalimu katika shule ya Pakistan auawa kwa ‘kukufuru’ polisi wasema
Inasemekana jamaa alikuwa ameota kwamba mwanamke aliyekufa “amemkufuru” Mtume Mohammed, maafisa walisema,
Inasemekana jamaa alikuwa ameota kwamba mwanamke aliyekufa “amemkufuru” Mtume Mohammed, maafisa walisema,
Mwanamke huyo alipatikana na hatia ya kukufuru kwa kumtusi Mtume Muhammad katika jumbe alizotuma kupitia WhatsApp