Kenya: Nairobi yapata gavana baada ya Sonko kuenguliwa
Sakaja sasa anakuwa gavana wa nne wa Nairobi na wa tatu kuchaguliwa na wakaazi; mpinzani wake Polycarp Igathe amekubali matokeo
Sakaja sasa anakuwa gavana wa nne wa Nairobi na wa tatu kuchaguliwa na wakaazi; mpinzani wake Polycarp Igathe amekubali matokeo