KENYA: Maafisa wanne wa IEBC wapigwa kalamu siku moja kabla ya uchaguzi
Maafisa wanne wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) wamekamatwa baada ya kupatikana wakifanya mkutano nyumbani kwa muwaniaji wa ubunge
Maafisa wanne wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) wamekamatwa baada ya kupatikana wakifanya mkutano nyumbani kwa muwaniaji wa ubunge