Rwanda Kuajiri Zaidi ya Walimu 300 kutoka Zimbabwe
Hatua hiyo inakuja miezi miwili tu baada ya Rais Paul Kagame kutoa ombi hilo wakati wa mkutano wa biashara na uwekezaji wa nchi hizo mbili.
Hatua hiyo inakuja miezi miwili tu baada ya Rais Paul Kagame kutoa ombi hilo wakati wa mkutano wa biashara na uwekezaji wa nchi hizo mbili.