• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: October 11, 2022

Rais Samia kufanya ziara ya siku nne mkoani Kigoma
Africa East Africa

Rais Samia kufanya ziara ya siku nne mkoani Kigoma

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ziara hiyo, mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema kuwa, ziara ya Rais Samia itaanzia wilayani Kakonko.

Tanzania yaitaka Jumuiya ya Kimataifa kusaidia mchakato wa kuwarudisha wakimbizi wa Burundi nchini kwao
Africa East Africa

Tanzania yaitaka Jumuiya ya Kimataifa kusaidia mchakato wa kuwarudisha wakimbizi wa Burundi nchini kwao

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzania,  Mhandisi Hamad Masauni amezitaka Jumuiya ya Kimataifa na Washirika wa Maendeleo kusaidia mchakato wa kuwarudisha Wakimbizi wa Burundi kwa hiari nchini kwao kwa kuweka sawa mazingira ya ndani ya nchi hiyo.

Bado watoto wa kike wanakabiliwa na vikwazo katika safari yao ya kuelekea utuuzima.
Africa East Africa

Bado watoto wa kike wanakabiliwa na vikwazo katika safari yao ya kuelekea utuuzima.

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Wasichana walio na ujana wana haki ya kuishi salama, kuelimika, na afya. Ikiwa wanaungwa mkono vyema wakati wa miaka ya ujana, wasichana wana uwezo wa kubadilisha ulimwengu – wote kama wasichana wenye uwezo wa leo na kama wafanyikazi wa kesho, mama, wajasiriamali, washauri, wakuu wa kaya, na viongozi wa kisiasa. 

Dkt. Tulia achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kundi la Kanda ya Afrika ya Umoja wa Mabunge duniani.
Africa East Africa

Dkt. Tulia achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kundi la Kanda ya Afrika ya Umoja wa Mabunge duniani.

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Aidha kupitia nafasi hiyo atakuwa pia Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya IPU na Kamati ya Uongozi ya Makundi ya Kijiografia.

Serikali ya Tanzania yaanza kupitia sheria ya ndoa ya 1971
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yaanza kupitia sheria ya ndoa ya 1971

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Waziri wa Maendeeo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum nchini Tanzania Dkt. Dorothy Gwajima amesema Serikali ya nchi hiyo kupitia Wizara za Kisekta imeanza mapitio ya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 pamoja na sheria nyingine zinazogongana ili kuwasaidia watoto wa kike kuhusu umri wa kuolewa.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo