• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: January 6, 2023

Kevin McCarthy apoteza kura ya 11 ya uspika Marekani, Je atashinda nafasi hiyo?
International Politics

Kevin McCarthy apoteza kura ya 11 ya uspika Marekani, Je atashinda nafasi hiyo?

Victor WanaswaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Kundi la wabunge 20 wenye msimamo mkali wa chama chake cha Republican wamekataa kumpa McCarthy kura 218 zinazohitijaka kumfanya spika wa bunge hilo.

Ajali yaua watu watatu Tanga
Africa East Africa

Ajali yaua watu watatu Tanga

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Watu watatu wamefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa Januari 6,2023, baada ya lori lililokuwa limebeba gesi kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso.

Chadema:Mazungumzo ya maridhiano yaendelee.
Africa East Africa

Chadema:Mazungumzo ya maridhiano yaendelee.

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Taarifa iliyotolewa leo Januari 6, 2023 na chama hicho na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje, John Mrema imesema maazimio hayo yanatokana na Kamati kuu iliyoketi Januari 5, mwaka huu.

BoT:Kuna ongezeko la udanganyifu wa miamala ya kifedha
Africa East Africa

BoT:Kuna ongezeko la udanganyifu wa miamala ya kifedha

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

BoT imesema matukio mengi ya taarifa hizo yanahusisha kiasi kikubwa cha pesa kinachodaiwa kuletwa kwa ajili ya ufadhili wa mradi au matumizi binafsi.

Mauaji ya Mwanaharakati wa LGBTQ Kenya Yalaaniwa na watetezi wa haki za kibinadamu
East Africa

Mauaji ya Mwanaharakati wa LGBTQ Kenya Yalaaniwa na watetezi wa haki za kibinadamu

Victor WanaswaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Mwili wa marehemu uligunduliwa baada ya wahudumu wa bodaboda, kushuhudia gari likitupa sanduku kuukuu la chuma kando ya njia.

Mauzo ya nyama nje ya nchi yaongezeka
Africa East Africa

Mauzo ya nyama nje ya nchi yaongezeka

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Msajili wa Bodi ya Nyama nchini Tanzania (TMB), Dk Daniel Mushi amesema mauzo ya nyama nje ya nchi hiyo kwa kipindi cha Julai hadi Desemba 15 mwaka jana yalifikia tani 5,158.93, sawa na ongezeko la asilimia 21.7 ikilinganishwa na tani 4,239.42 zilizouzwa kipindi kama hicho mwaka 2021 huku nchi ya Qatar ikiongoza kwa kununua tani 504.

Kenya: Mwili mwingine yapatikana mto Yala
Kenya

Kenya: Mwili mwingine yapatikana mto Yala

Victor WanaswaJanuary 6, 2023July 2, 2024

Mwili huo umepatikana mida ya saa kumi na mbili jioni na familia ambayo ilikuwa inasaka jamaa yao aliyekuwa ametoweka na aliyekuwa ameripotiwa kuzama katika mto huo wiki chache zilizopita.

More political storms for TikTok after US government ban
North America Science & Tech

More political storms for TikTok after US government ban

Victor WanaswaJanuary 6, 2023July 2, 2024

TikTok is the equivalent of “digital fentanyl,”, one of the leading voices in Congress against China, comparing the app to the deadly opioid.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo