• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Kesi ya Maofisa wa polisi wanaodaiwa kumuua mfanyabiashara wa madini kusikilizwa kesho.
Africa East Africa

Kesi ya Maofisa wa polisi wanaodaiwa kumuua mfanyabiashara wa madini kusikilizwa kesho.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Mara ya kwanza maofisa hao walifikishwa mahakamani Januari 25, mwaka 2022 kwa tuhuma za kufanya mauaji ya hayo ambayo yalizua hisia mseto na kuleta taswira mbaya kwa jeshi la polisi nchini Tanzania

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya na wenzake Januari 17.
Africa East Africa

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya na wenzake Januari 17.

Asia GambaJanuary 9, 2023January 9, 2023

Rufaa hiyo namba 155/2022, inapinga hukumu kesi ya uhujumu uchumi iliyowaachia huru Ole Sabaya na wenzake ambao ni pamoja na Enock Mnkeni, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.

Ajali yaua watu watatu Tanga
Africa East Africa

Ajali yaua watu watatu Tanga

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Watu watatu wamefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa Januari 6,2023, baada ya lori lililokuwa limebeba gesi kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso.

Chadema:Mazungumzo ya maridhiano yaendelee.
Africa East Africa

Chadema:Mazungumzo ya maridhiano yaendelee.

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Taarifa iliyotolewa leo Januari 6, 2023 na chama hicho na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje, John Mrema imesema maazimio hayo yanatokana na Kamati kuu iliyoketi Januari 5, mwaka huu.

BoT:Kuna ongezeko la udanganyifu wa miamala ya kifedha
Africa East Africa

BoT:Kuna ongezeko la udanganyifu wa miamala ya kifedha

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

BoT imesema matukio mengi ya taarifa hizo yanahusisha kiasi kikubwa cha pesa kinachodaiwa kuletwa kwa ajili ya ufadhili wa mradi au matumizi binafsi.

Mauzo ya nyama nje ya nchi yaongezeka
Africa East Africa

Mauzo ya nyama nje ya nchi yaongezeka

Asia GambaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Msajili wa Bodi ya Nyama nchini Tanzania (TMB), Dk Daniel Mushi amesema mauzo ya nyama nje ya nchi hiyo kwa kipindi cha Julai hadi Desemba 15 mwaka jana yalifikia tani 5,158.93, sawa na ongezeko la asilimia 21.7 ikilinganishwa na tani 4,239.42 zilizouzwa kipindi kama hicho mwaka 2021 huku nchi ya Qatar ikiongoza kwa kununua tani 504.

Balozi wa Tanzania nchini Austria afariki dunia.
Africa East Africa

Balozi wa Tanzania nchini Austria afariki dunia.

Asia GambaDecember 15, 2022December 15, 2022

Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Mushy amefariki dunia katika ajali iliyotokea eneo la Mkata wilayani Handeni mkoa wa Tanga.

Watu 22 wafariki kwa kunywa pombe yenye sumu nchini India 
Africa Asia

Watu 22 wafariki kwa kunywa pombe yenye sumu nchini India 

Asia GambaDecember 15, 2022December 15, 2022

Vifo hivyo vilitokea hasa katika vijiji viwili katika jimbo la mashariki la Bihar, ambapo uuzaji na unywaji wa vileo umepigwa marufuku.

Benki Kuu ya Tanzania yaiweka chini ya uangalizi benki ya Yetu Microfinance 
Africa East Africa

Benki Kuu ya Tanzania yaiweka chini ya uangalizi benki ya Yetu Microfinance 

Asia GambaDecember 13, 2022December 13, 2022

Taarifa iliyotolewa Desemba 12, 2022 na Gavana wa BoT, Profesa Florens imesema usimamizi huo umeanza mara moja na utadumu kwa siku zisizozidi 90 kabla ya kutoa majumuisho.

Wamachinga wa soko la Kariakoo kutozwa kodi na TRA
Africa East Africa

Wamachinga wa soko la Kariakoo kutozwa kodi na TRA

Asia GambaDecember 12, 2022December 12, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 12, 2022 Meneja wa Mkoa wa Kikodi wa TRA, Alex Katundu amesema tayari machinga 5273 wameshasajiliwa ili kuingizwa kwenye mfumo wa malipo ya kodi wa makadirio.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy