• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Tanga Kinara ukusanyaji mapato mikoa ya Tanzania Bara
Africa East Africa

Tanga Kinara ukusanyaji mapato mikoa ya Tanzania Bara

Asia GambaAugust 2, 2022August 2, 2022

Waziri Bashungwa amesema kimkoa, Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kukusanya kiasi cha Sh bilioni 167.5, ukifuatiwa na mkoa wa Dodoma Sh bilioni 89.4 na mkoa wa Pwani uliokusanya Sh bilioni 48.7.

Watu wawili wamefariki kwenye maandamano ya kupinga gharama kubwa za umeme nchini Afrika Kusini.
Africa East Africa

Watu wawili wamefariki kwenye maandamano ya kupinga gharama kubwa za umeme nchini Afrika Kusini.

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Wakaazi waliokasirishwa na gharama ya juu ya huduma za kimsingi walifunga barabara kwa matairi yanayoungua na kuchoma moto jengo la manispaa katika kitongoji cha Thembisa kaskazini mashariki mwa kitovu cha kifedha cha Johannesburg.

Hakimu Ndeyekobora aondolewa kusikiliza kesi ya Mfalme Zumaridi
Africa East Africa

Hakimu Ndeyekobora aondolewa kusikiliza kesi ya Mfalme Zumaridi

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Kuondolewa kwa hakimu huyo huenda kukawa ni majibu ya maombi yaliyowasilishwa Julai 28,2022 na mshtakiwa namba moja katika shauri hilo Mfalme Zumaridi kupitia kwa mawakili wake wakimtaka, Ndyekobora kujiondoa kusikiliza shauri hilo kwa kile walichodai mteja wao hana imani naye huku hakimu huyo akiweka ngumu kujiondoa kwa kile alichodai maombi hayo hayana mashiko.

Baba ambaka na kumlawiti mtoto wake wa miaka 12 mara nne kwa siku tofauti
Africa East Africa

Baba ambaka na kumlawiti mtoto wake wa miaka 12 mara nne kwa siku tofauti

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Hassan ametiwa hatiani kwenye kesi hiyo namba 70/2021 na Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro katika hukumu iliyosomwa na Hakimu Charles Woiso.

Ufilipino yaweka msisitizo wa kutojiunga tena ICC.
Africa East Africa

Ufilipino yaweka msisitizo wa kutojiunga tena ICC.

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Majaji wa ICC waliidhinisha uchunguzi kamili kuhusu kampeni ya kupambana na dawa za kulevya Septemba mwaka jana, wakisema inafanana na shambulio lisilo halali na la kimfumo dhidi ya raia

Majaliwa: Nyongeza ya mishahara inawahusu zaidi wanaolipwa kima cha chini
Africa East Africa

Majaliwa: Nyongeza ya mishahara inawahusu zaidi wanaolipwa kima cha chini

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Majaliwa ametoa ufafanuzi huo leo Ijumaa Julai 29, 2022 wakati akitoa tamko la Serikali kuhusu nyongeza ya mishahara, ikiwa ni siku chache baada ya watumishi kulalamikia nyongeza hiyo na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kupinga.

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kufanya ngono na mwanawe
Africa East Africa

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kufanya ngono na mwanawe

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Akitoa hukumu hiyo, hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Nzega, Godfrey Rwekite alisema kutokana na ushahidi kukamilika, mahakama imeridhia kumuhukumu kwa Masanja Shija kutumikia kifungo hicho cha miaka 30 jela ili liwe fundisho kwake na kwa wengine.

Waziri wa Afya nchini Tanzania asema hakuna mgonjwa mpya wa Mgunda
Africa East Africa

Waziri wa Afya nchini Tanzania asema hakuna mgonjwa mpya wa Mgunda

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Amesema wagonjwa 17 waliokuwa wamelazwa kwenye kituo cha afya cha Ndekenyera tayari wameruhusiwa kuendelea na shughuli zao.

Hali ya Sabaya yasababisha kesi inayomkabili kuahirishwa
Africa East Africa

Hali ya Sabaya yasababisha kesi inayomkabili kuahirishwa

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Awali wakili wa Sabaya, Fridolin Bwemelo aliieleza mahakama hiyo kuwa Sabaya amefanyiwa upasuaji mkubwa wa kichwa kutokana na uvimbe aliokuwa nao na kwamba anahitaji kupata uangalizi wa karibu.

Homa ya Ini tishio Afrika
Africa East Africa

Homa ya Ini tishio Afrika

Asia GambaJuly 28, 2022July 28, 2022

Takwimu za Shirika la Afya Duniani kupitia taarifa ya mwaka 2021 zinaonesha kati ya watu milioni 296 duniani wenye homa…

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy