Ndugu wa Sabaya wataka Rais Samia aingilie kati kesi ya Sabaya na wenzake, wataka Serikali ikumbuke mazuri aliyoyafanya Sabaya akiwa kiongozi
Wakiangua vilio huku wakiwa wameshika majani ya masala nje ya mahakama hiyo, wamemuomba Rais Samia ayakumbuke mazuri aliyofanya Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.