• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Ndugu wa Sabaya wataka Rais Samia aingilie kati kesi ya Sabaya na wenzake, wataka Serikali ikumbuke mazuri aliyoyafanya Sabaya akiwa kiongozi
Africa East Africa

Ndugu wa Sabaya wataka Rais Samia aingilie kati kesi ya Sabaya na wenzake, wataka Serikali ikumbuke mazuri aliyoyafanya Sabaya akiwa kiongozi

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Wakiangua vilio huku wakiwa wameshika majani ya masala nje ya mahakama hiyo, wamemuomba Rais Samia ayakumbuke mazuri aliyofanya Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.

Serikali ya Tanzania kutumia trilioni 9 kulipa deni
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania kutumia trilioni 9 kulipa deni

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Wizara ya Fedha na Mipango nchini Tanzania imeliomba Bunge kuidhinisha shilingi trilioni 14.94 ikiwa ni  bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 huku shilingi trilioni 9.09 zikienda katika kulipa deni la Serikali.

Serengeti Girls yapewa heshima ya pekee ndani ya bunge la Tanzania
Sports

Serengeti Girls yapewa heshima ya pekee ndani ya bunge la Tanzania

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Wachezaji wa timu hiyo na baadhi ya maofisa, walipewa heshima hiyo kwa kuingia ndani ya ukumbi wa bunge, huku wakipigiwa makofi na wabunge.

Matukio ya ubakaji yaongoza kwenye matukio ya ukatili nchini Tanzania
Africa East Africa

Matukio ya ubakaji yaongoza kwenye matukio ya ukatili nchini Tanzania

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Serikali ya Tanzania imetaja jumla ya matukio 11,499 ya ukatili yaliyoripotiwa katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2021 huku ubakaji ukiongza kwa idadi ya matukio hayo.

Lugha ya Kiswahili inavyoitangaza Tanzania Kimataifa
Africa East Africa

Lugha ya Kiswahili inavyoitangaza Tanzania Kimataifa

Asia GambaJune 6, 2022June 6, 2022

Lugha adhimu ya Kiswahili imeendelea kukua na kuimarika na kukubalika kutumika kitaifa, kikanda na kimataifa hatua inayolitangaza vema taifa la Tanzania duniani.

Huduma la LUKU nchini Tanzania kukosekana kwa saa mbili
Africa East Africa

Huduma la LUKU nchini Tanzania kukosekana kwa saa mbili

Asia GambaJune 6, 2022June 6, 2022

Tanesco imesema huduma hiyo itakosekana kuanzia saa 6 usiku hadi saa 8 usiku nchi nzima ili kupisha maboresho ya mfumo wa manunuzi ya umeme kwa wateja wanaolipia kabla ya matumizi (Luku), kupitia mifumo iliyopo katika kituo cha kujikinga na majanga (Disaster Recovery).

Safari ya CDF Jenerali Mabeyo, katika kulitumikia Jeshi la Tanzania
Africa East Africa

Safari ya CDF Jenerali Mabeyo, katika kulitumikia Jeshi la Tanzania

Asia GambaJune 6, 2022June 6, 2022

Alizaliwa Julai 1, 1956 wilayani Magu mkoani Mwanza na kupata elimu ya msingi katika shule ya Namibu mkoani Mara kuanzia 1965 hadi 1971.

Waziri Mkuu wa Tanzania atoa onyo kwa wanaotiririsha maji taka
Africa East Africa

Waziri Mkuu wa Tanzania atoa onyo kwa wanaotiririsha maji taka

Asia GambaJune 6, 2022June 6, 2022

Vilevile, amekemea tabia ya uchomaji miti, uvamizi na uharibifu wa mapori tengefu, ukataji wa miti holela kwa ajili ya uchomaji wa mkaa, uvamizi na uharibifu wa vyanzo vya maji pamoja na uchomaji moto misitu.

Tanzania yajipanga kuweka mfumo wa Mtuhumiwa kujidhamini mwenyewe
Africa East Africa

Tanzania yajipanga kuweka mfumo wa Mtuhumiwa kujidhamini mwenyewe

Asia GambaJune 6, 2022June 6, 2022

Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dk. Damas Ndumbaro, amesema wizara yake inakwenda kuufumua mfumo wa jinai, ili kuangalia namna ya kupunguza msongamano wa mahabusu gerezani. 

TAKUKURU nchini Tanzania yamshikilia Muuguzi anaedaiwa kusafirisha kilo 174.77 za dawa za kulevya 
Africa East Africa

TAKUKURU nchini Tanzania yamshikilia Muuguzi anaedaiwa kusafirisha kilo 174.77 za dawa za kulevya 

Asia GambaJune 3, 2022June 3, 2022

Akizungumza na waadishi wa habar leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Florence Khambi, amesema kufuatia upekuzi uliofanyika nyumbani kwa mtuhumiwa, paketi 162 zenye unga uliodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya zilikutwa ndani ya viroba sita vilivyokuwa vimehifadhiwa chumbani kwa mtuhumiwa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy