Kenya’s deputy president Rigathi Gachagua faces impeachment vote
Kenya’s parliament was set to vote on Tuesday on impeaching Deputy President Rigathi Gachagua in a political drama that has exposed a rift in the governing party.
Kenya’s parliament was set to vote on Tuesday on impeaching Deputy President Rigathi Gachagua in a political drama that has exposed a rift in the governing party.
Nchini Kenya, Adani iko katika mazungumzo na kampuni ya kusambaza umeme nchini humo kwa makubaliano ya kujenga nyaya za umeme zenye thamani ya dola milioni 736. Pendekezo la kundi hilo la kuendesha uwanja wa ndege wa kitaifa wa jomo kenyata wa taifa hilo katika mji mkuu wa Nairobi, limezua pingamizi kali kutoka kwa umma na kufunguliwa mashtaka mahakamani
In Kenya, Adani is in talks with the nation’s electricity transmission company for a concession to construct high-voltage power lines valued at $736 million. The group’s proposal to run the nation’s main airport in the capital, Nairobi, has sparked protests, Senate hearings, and lawsuits.
Maiti zaidi ya 20 zimeopolewa baada ya meli kupinduka kwenye ziwa kivu. Watu kadhaa bado hawajulikani walipo katika mkasa huo mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika taifa hilo linalokabiliwa na miundombinu duni
The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) has temporarily suspended the online content services of Mwananchi Communication Limited (ML) and The Citizen Tanzania publication for ‘violation of the law’
Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda huduma za maudhui ya mtandaoni za Mwananchi Communication Limited (ML) kwa ‘ukiukaji wa kanuni’
At least 45 people died and “many” others were missing after two migrant boats sank off the coast of Djibouti, the UN’s migration agency said Tuesday.
Seneta wa Kaunti ya Makueni Dan Maanzo, anahoji kuwa Ruto amekiuka Katiba katika masuala mengi, ikiwa ni pamoja na kushindwa kuwalinda Wakenya dhidi ya ukatili wa polisi kwa mujibu wa sheria.
Maoni hayo yanaweza tolewa kupitia mtandano kwa anwani; impeachment@parliament.go.ke kufikia Oktoba 5, 2024 saa kumi na moja jioni.
Nigeria inatarajia kushuhudia maandamano mapya hii leo Jumanne wakati wananhi watapokusanyika kupinga gharama ya maisha.Maandamano hayo yaliyopewa jina la ‘Bila woga Oktoba 1’ yamepangwa kuendana na maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru wa Nigeria ambayo yanaadhimishwa Jumanne, Oktoba