Muswada kumuondoa Naibu Rais Gachagua watua Bungeni Kenya
Bunge ya Kenya limepokea ombi la kutaka kumuondoa kwa lazima Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua ikidaiwa kuwa amekiuka sheria na katiba
Bunge ya Kenya limepokea ombi la kutaka kumuondoa kwa lazima Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua ikidaiwa kuwa amekiuka sheria na katiba
Mwanaharakati wa kisiasa Morara Kebaso ameachiliwa huru baada ya kuzuiliwa kwa saa kadhaa kufuatia kukamatwa kwake.
Waendesha mashtaka wa Benin Jumatano walisema kwamba watu watatu mashuhuri akiwemo kamanda wa kikosi cha ulinzi wa rais walikamatwa kwa tuhuma za kupanga “mapinduzi” katika taifa hilo dogo la Afrika Magharibi.
Kenya inatarajiwa kuandaa kongamano la Afrika na Ufaransa mwaka 2026 kwa mara ya kwanza tangu lizinduliwe mwaka 1973.
Umoja wa Mataifa wasema kuongezeka kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya kundi la Hezbollah kumeifanya Lebanon kukabiliwa na kipindi kibaya zaidi katika historia yake.
Central London employment tribunal has received evidence that the telecommunications company MIC Tanzania Limited (Tigo) provided the Tanzanian government with 24/7 mobile phone calls and location data of opposition politician Tundu Lissu in the weeks leading to his violent assassination attempt in September 2017.
Rais William Ruto amelilimbikizia sifa Shirika la Ford Foundation kwa kusaidia kulinda demokrasia nchini Kenya.
Tanzania opposition leaders Freeman Mbowe and Tundu Lissu have been released from custody close to 12 hours after they were arrested. The two among others were placed in police custody for planning to lead an outlawed demonstration in Dar es Salaam, Tanzania
He alleges the DP has engaged in divisive politics and betrayed his oath of office among others.
Polisi wa kupambana na ghasia wamekusanyika katika maeneo kadhaa katika jiji la Dar es Salaam asubuhi ya leo, kuelekea maandamano ya chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).