• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Kevin Sewe

Mamlaka Tanzania yaifungia Mwananchi kuchapisha habari mtandaoni kwa ‘ukiukaji wa kanuni’
East Africa Tanzania

Mamlaka Tanzania yaifungia Mwananchi kuchapisha habari mtandaoni kwa ‘ukiukaji wa kanuni’

Kevin SeweOctober 3, 2024October 7, 2024

Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda huduma za maudhui ya mtandaoni za Mwananchi Communication Limited (ML) kwa ‘ukiukaji wa kanuni’

45 dead after two migrant boats sink off  in Djibouti
Africa

45 dead after two migrant boats sink off in Djibouti

Kevin SeweOctober 2, 2024

At least 45 people died and “many” others were missing after two migrant boats sank off the coast of Djibouti, the UN’s migration agency said Tuesday.

Hoja ya kujadili mienendo ya Rais wa Kenya William Ruto yatua bunge la Seneti
East Africa Kenya

Hoja ya kujadili mienendo ya Rais wa Kenya William Ruto yatua bunge la Seneti

Kevin SeweOctober 2, 2024

Seneta wa Kaunti ya Makueni Dan Maanzo, anahoji kuwa Ruto amekiuka Katiba katika masuala mengi, ikiwa ni pamoja na kushindwa kuwalinda Wakenya dhidi ya ukatili wa polisi kwa mujibu wa sheria.

Wakenya kutoa maoni kuhusu hoja ya kumbandua makamu wa rais Gachagua
East Africa Kenya

Wakenya kutoa maoni kuhusu hoja ya kumbandua makamu wa rais Gachagua

Kevin SeweOctober 2, 2024

Maoni hayo yanaweza tolewa kupitia mtandano kwa anwani; impeachment@parliament.go.ke kufikia Oktoba 5, 2024 saa kumi na moja jioni.

Maandamano mapya ya kupinga  gharama ya maisha yafanyika Nigeria
Africa

Maandamano mapya ya kupinga gharama ya maisha yafanyika Nigeria

Kevin SeweOctober 1, 2024October 1, 2024

Nigeria inatarajia kushuhudia maandamano mapya hii leo Jumanne wakati wananhi watapokusanyika kupinga gharama ya maisha.Maandamano hayo yaliyopewa jina la ‘Bila woga Oktoba 1’ yamepangwa kuendana na maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru wa Nigeria ambayo yanaadhimishwa Jumanne, Oktoba

Muswada kumuondoa Naibu Rais Gachagua watua Bungeni Kenya
East Africa Kenya

Muswada kumuondoa Naibu Rais Gachagua watua Bungeni Kenya

Kevin SeweOctober 1, 2024

Bunge ya Kenya limepokea ombi la kutaka kumuondoa kwa lazima Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua ikidaiwa kuwa amekiuka sheria na katiba

Mwanaharakati Morara Kebaso aachiliwa kwa dhamana nchini Kenya
East Africa Kenya

Mwanaharakati Morara Kebaso aachiliwa kwa dhamana nchini Kenya

Kevin SeweOctober 1, 2024October 1, 2024

Mwanaharakati wa kisiasa Morara Kebaso ameachiliwa huru baada ya kuzuiliwa kwa saa kadhaa kufuatia kukamatwa kwake.

Benin yawakamata watu watatu wanaoshukiwa kupanga mapinduzi
Africa

Benin yawakamata watu watatu wanaoshukiwa kupanga mapinduzi

Kevin SeweSeptember 27, 2024September 27, 2024

Waendesha mashtaka wa Benin Jumatano walisema kwamba watu watatu mashuhuri akiwemo kamanda wa kikosi cha ulinzi wa rais walikamatwa kwa tuhuma za kupanga “mapinduzi” katika taifa hilo dogo la Afrika Magharibi.

Kenya kuandaa kongamano la Afrika na Ufaransa mwaka 2026
East Africa Kenya

Kenya kuandaa kongamano la Afrika na Ufaransa mwaka 2026

Kevin SeweSeptember 27, 2024September 27, 2024

Kenya inatarajiwa kuandaa kongamano la Afrika na Ufaransa mwaka 2026 kwa mara ya kwanza tangu lizinduliwe mwaka 1973.

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aapa kupigana kuwalinda watu wake
War & Conflicts

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aapa kupigana kuwalinda watu wake

Kevin SeweSeptember 27, 2024September 27, 2024

Umoja wa Mataifa wasema kuongezeka kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya kundi la Hezbollah kumeifanya Lebanon kukabiliwa na kipindi kibaya zaidi katika historia yake.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo