Tahadhari ya Kimbunga Hidaya yatolewa Kenya na Tanzania
“Huenda Kenya ikakabiliwa na kimbunga cha kwanza kabisa
“Huenda Kenya ikakabiliwa na kimbunga cha kwanza kabisa
Kabla ya Uteuzi wake, jenerali Kahariri alikuwa naibu Mkuu wa majeshi ya ulinzi Kenya
Benki ya Dunia imesitisha ufadhili wa mradi mkubwa wa utalii nchini Tanzania kwa madai kuwa umesababisha mateso miongoni mwa maelfu ya wanakijiji.
The British government’s controversial plan to send asylum seekers to Rwanda has finally been approved by Parliament earlier on Tuesday.
Madaktari madkatrai nchini Kenya wametishia kuacha kufanya uchunguzi wa maiti na kujaza kujaza fomu za P3 iwapo polisi watahujumu na kuwazuia kufanya maandamano yao.
Kiongozi huyo wa ODM ameitaka Serikali kuwalipa wahudumu wa matibabu, kuangalia ada na mishahara ya madaktari wanaoendelea na masomo zaidi na kushughulikia kusitishwa kwa huduma zao bila utaratibu.
WanaJeshi wanaotawala Mali umeamuru kusimamishwa mikutano zote za kisiasa kote nchini, ukisema kuwa hatua hiyo inahitajika ili kudumisha utulivu na amani ya raia.
In the adrenaline-fueled world of Kenyan motorsport, one name stands out as a driving force behind the pursuit of excellence:
Kenya imetangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku kuu kuadhimisha Eid-Ul-Fitr.
Rais wa Rwanda Paul Kagame, ameipongeza Kenya kwa wajibu wake mkubwa katika kujengwa upya kwa taifa la Rwanda baada ya mauaji ya kimbari yaliyotekelezwa mwaka 1994.