Yanga Vs Mamelod, mzunguko ni bure
Mechi hiyo ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika, itachezwa saa 3 usiku, hivyo kulingana na muda huo uongozi wa Yanga umeamua kuwapunguzia gharama mashabiki wake.
Mechi hiyo ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika, itachezwa saa 3 usiku, hivyo kulingana na muda huo uongozi wa Yanga umeamua kuwapunguzia gharama mashabiki wake.
222 million euros: Neymar (BRA). Barcelona (ESP) to Paris Saint-Germain (FRA), 2017
He is Real Madrid’s second top scorer of all-time, with 353 goals for Madrid, behind only Ronaldo on 450.
Liverpool and Tottenham were among the major disappointments as they crashed out of the top four despite high hopes for the season
Nchi hizo tatu za Afrika Mashariki ziliungana na mpango uliopewa jina la EA ‘Pamoja’ zabuni ya AFCON 2027
City’s domestic dominance has seen them hailed as one of the best sides English football has ever seen.
Rais wa kenya William Ruto amethibitisha msimamo wa Kenya wa kuwania kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2 (AFCON) 2027
Yanga yatawazwa mabingwa wa ligi kuu Bara kwa mara ya pili mtawalia. Yanga imetetea ubingwa wake baada ya kuishinda Dodoma Jiji magoli 4-2
In the semi-final first legs on Wednesday, Young Africans of Tanzania host Marumo Gallants of South Africa and ASEC Mimosas of the Ivory Coast entertain USM Alger of Algeria
Serikali ya Kenya mwezi Disemba iliidhinisha pendekezo la baraza la mawaziri kuunga mkono ombi la mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, pamoja na majirani zake wawili