US to ‘temporarily’ pull troops out of Chad
The US will temporarily withdraw some of its troops from Chad, days after agreeing to remove all its soldiers from the neighbouring Niger
The US will temporarily withdraw some of its troops from Chad, days after agreeing to remove all its soldiers from the neighbouring Niger
At the summit set for Thursday and Friday in Saint Petersburg, Putin’s native city, several African leaders are expected including South African President Cyril Ramaphosa.
Mpango huu umekuwa wa kihistoria kwa kuwa ni mara ya kwanza kwa viongozi wa Afrika kuanza kazi ya amani nje ya bara hili,” Ramaphosa alisema
Ujumbe huo uliozinduliwa na Ramaphosa mwezi uliopita unajumuisha marais wa Jamhuri ya Kongo, Misri, Senegal, Afrika Kusini, Uganda na Zambia.
Nchi za Kiafrika zimeathiriwa vibaya na ongezeko la mfumuko wa bei uliochochewa na vita hivyo, hasa katika mazao ya nafaka
Russian President Vladimir Putin and Ukrainian President Volodymyr Zelensky have “agreed to receive the mission and the African heads of state- South African President Cyril Ramaphosa said
Museveni alisema Uganda ilijizuia na kuchukua msimamo wa kutoegemea upande wowote wakati suala la Urusi na Ukraine lilipokuja kujadiliwa katika Umoja wa Mataifa.
Maafisa walikuwa wamekanusha kuwa Biden angezuru Ukraine wakati wa safari yake ya kuelekea Ulaya mashariki.
Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.
Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.