Ukraine claims 5 dead in strikes, blasts near Kyiv, as Russia vows to intensify attacks
Explosions were heard in the Vasylkiv area outside the capital
Explosions were heard in the Vasylkiv area outside the capital
Fresh violence as Jewish and Christian festivals overlap with Ramadan
Atrocities uncovered in the town of Bucha near Kyiv and a deadly missile attack on a crowded train station in Ukraine’s eastern city of Kramatorsk have spurred moves to help the probes.
“Bei za bidhaa za chakula duniani zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Machi kufikia viwango vyake vya juu zaidi,”FAO
Ukrainian President Volodymyr Zelensky challenged the United Nations to “act immediately”.
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Balozi Mulamula amesema kwa miaka mingi sasa Tanzania inaamini katika kutafuta muafaka na maridhiano kwa kutumia njia ya diplomasia ili kumaliza migogoro.
Imeshambulia ghala hilo kwa kutumia makombora ya masafa marefu yaliyorushwa kutoka baharini.
Kulingana na Shirika la Human Rights Watch, watu waliofanikiwa kuukimbia mji huo wameelezea hali mbaya walioiacha ikiwemo maiti kutapakaa barabarani na majengo yaliyoharibiwa.
Urusi ilikuwa imeipa Ukraine hadi saa kumi na moja alfajir ya leo kuwa imesalimu amri mjini Mariupol, lakini haikusema itafanya nini ikiwa Ukraine itakataa kuheshimu matakwa yake.