Mauzo ya bidhaa za Tanzania na Rwanda yafikia Dola milioni 269.
Tanzania na Rwanda zilitia saini mkataba wa kukuza biashara ya mipakani na kuwakaribisha wafanyabiashara kushiriki katika kamati ya pamoja ya mpaka.
Tanzania na Rwanda zilitia saini mkataba wa kukuza biashara ya mipakani na kuwakaribisha wafanyabiashara kushiriki katika kamati ya pamoja ya mpaka.